Kwanini usiulize kwenye chuo husika? Sababu za kuacha umesema unazijua so ulipaswa kujua pia plan BJaman mm na one ya point 9 PCB nasoma education, Nataka niache (kwa sababu nazo zijua ) education ni apply mwezi wa saba tena kozi nyingne (nursing), hivi naweza kufanikiwa kuchaguliwa kweli wakuu
Naombeni maoni yenu na mitazamo yenu
Yani chuo kipi unamanishaKwanini usiulize kwenye chuo husika? Sababu za kuacha umesema unazijua so ulipaswa kujua pia plan B
NitaulipaKama umeishapewa Mkopo Utafanyaje?
Namaanisha watakupa mara mbili sasa?Nitaulipa
I recommend you to stay where you're.Jaman mm na one ya point 9 PCB nasoma education, Nataka niache (kwa sababu nazo zijua ) education ni apply mwezi wa saba tena kozi nyingne (nursing), hivi naweza kufanikiwa kuchaguliwa kweli wakuu
Naombeni maoni yenu na mitazamo yenu
Maelezo yako binafsi umeelewa ulichomaanisha ama bado una usingizi. Kwanini watoto wa siku hizi hamjui kujueleza? Huna tofauti na anayesema mimi ni mtu fulani,naishi sehemu fulani,nimepata tatizo fulani,naomba ushauri.Yani chuo kipi unamanisha
Kwenye taarifa za tcu wanasema unabidi ulipe asilimia 25 ya mkopo ambao usha chukua ili uweze kuomba tenaNamaanisha watakupa mara mbili sasa?
Kwa nn mkuuI recommend you to stay where you're.
Walipe sasa ili uombe kitu unapenda.Kwenye taarifa za tcu wanasema unabidi ulipe asilimia 25 ya mkopo ambao usha chukua ili uweze kuomba tena
Nilikwa nawaza kuhusu competion ya mwaka huu kwenye admissionsMzee ondoka hapo haraka sana,
Wacha wasiwasi..
Nenda Nursing na kama hutaipenda sana baadae unapiga MPH penalty ile paaleee...
PCM point 9 unaenda kusoma ualimu? Ama kweli masikini ni masikini!Jaman mm na one ya point 9 PCB nasoma education, Nataka niache (kwa sababu nazo zijua ) education ni apply mwezi wa saba tena kozi nyingne (nursing), hivi naweza kufanikiwa kuchaguliwa kweli wakuu
Naombeni maoni yenu na mitazamo yenu
Subutu jidanganye na hizo statement kama utaondoka kwenye hiyo degree programs basi tambua na ujiandae kujilipia mwenyewe ada kwenye degree programs nyingine.Kwenye taarifa za tcu wanasema unabidi ulipe asilimia 25 ya mkopo ambao usha chukua ili uweze kuomba tena
Kazi ipoJaman mm na one ya point 9 PCB nasoma education, Nataka niache (kwa sababu nazo zijua ) education ni apply mwezi wa saba tena kozi nyingne (nursing), hivi naweza kufanikiwa kuchaguliwa kweli wakuu
Naombeni maoni yenu na mitazamo yenu