Habasoda ni kitu gani?

Habasoda ni kitu gani?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Je? Huandikwa hivyo? Inasaidia nini kwa binadamu? Je kwa watoto pia inafaa? Wapi yaweza kupatikanaa. Nashukuru.

Akhsante.
 
nadhani ni HABATT SAWDAA,; ni dawa inayotokana na maua fulani yanapatikana sana nchi za asia. inatibu maradhi mengi sana kwa jinsi nilivyosoma somewhere. Kuna uzi fulani mkuu MziziMkavu aliwahi kuelezea kidogo hii kitu.
 
Last edited by a moderator:
nadhani ni HABATT SAWDAA,; ni dawa inayotokana na maua fulani yanapatikana sana nchi za asia. inatibu maradhi mengi sana kwa jinsi nilivyosoma somewhere. Kuna uzi fulani mkuu MziziMkavu aliwahi kuelezea kidogo hii kitu.

Kwa jinsi ninavyofahamu habatt sawdaa ni dawa ya magonjwa mengi.IPO ya mafuta,chenga na unga.mie natengeneza na kuuza juice ya tende ambapo habatt sawdaa ni kiungo katika hii juic e.inapatikana sanasana kwenye maduka ya miskitini wanapouza vitabu, makanzu na dawa za asili.kama uko dar nenda mwenge mskitini ,au mwenge sokoni kuna mbabu anauza
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ninavyofahamu habatt sawdaa ni dawa ya magonjwa mengi.IPO ya mafuta,chenga na unga.mie natengeneza na kuuza juice ya tende ambapo habatt sawdaa ni kiungo katika hii juic e.inapatikana sanasana kwenye maduka ya miskitini wanapouza vitabu, makanzu na dawa za asili.kama uko dar nenda mwenge mskitini ,au mwenge sokoni kuna mbabu anauza

nadhani muuliza swali amekuelewa vizuri.
 
Je? Huandikwa hivyo? Inasaidia nini kwa binadamu? Je kwa watoto pia inafaa? Wapi yaweza kupatikanaa. Nashukuru.

Akhsante.
Bonyeza hapa.Topic: Habbat Sauda: Tiba mbadala ya V.V.U



​
nigellaseedcontents3.jpg
 
Back
Top Bottom