Habib Kyombo amefunga mabao 6 mechi 15, Kambole amefunga mabao 2 mechi 40, nani kalamba dume?

Utopolo wengi ni mataahira kabisa
 
Inabidi tuwashinikize viongozi wetu wa simba watuambie Shilingi 85 alizosema Boss Mo aliziweka jwenye Akaunti gani.

Kuna benki hapa Tanzania inapokea Shilingi 85?
Your browser is not able to display this video.
 
Simba wangeacha swala la Yanga lipite, afu hawa average players wangetambulishwa kwa makundi tu.
 
Maisha yanaenda kasi sana kutoka kugombania mchezaji na Berkane na Al Ahaly mpaka kugombea mchezaji na Singida Big Stars
 
Hivi ligi ya Afrika kusini ina ubora gani si kama hii ya hapa kwetu tu ligi ambayo Abdi banda anapata nafasi ya kucheza wakati ni mchezaji wa kawaida tu hapa kwetu pengine ligi yetu ni ngumu kuliko hata hiyo ya Afrika kusini hasa tukiangalia miundo mbinu ya viwanja vyetu kwa mchezaji kama Kambole atasumbuka Sana tofauti na Kiyombo ambaye amezoea viwanja kama mabatini na sokoine
 
Tunataka kuweka kumbukumbu sawa, ligi ikishaanza atutaki kusikia maneno ya kwamba gsm anahonga waamuzi, mara gsm anahonga wachezaji wetu, ayo maneno atutaki kuyasikia tena, aina ya usajili mnayoifanya ndo iyo ya kina kyombo kwamba ndo imesimamisha nchi, mkianza kupelekewa moto mkae kimyaa, usajili wa kyombo ni pendekezo la matola ameona anafaa maana siwezi kumsingizia kocha mpya wakati alikuwa ajamuona ata akicheza, Ni mchezaji ambae akijitambua atawasaidia lakini sio mchezaji wa kusimamisha nchi kama msemaji wenu alivyosema, hana tofauti yoyote na wakina kibu denis au Hassan dilunga
 
Brother unaonekana empty kabisa kwenye masuala ya soka. Yaani ligi ya south ni ya kawaida?? Ukawaida wake unaupima kwenye nini? Uwekezaji?? Thamani ya trophy?? Uwezo wa kiuchumi kwa team?? Thamani ya mchezaji mmoja mmoja?? Quality ya mchezaji mmoja mmoja?? Bajeti za clubs?? Mipango ya team?? Hii nchi uhuru unatumika vibaya sana
 
Hongera wewe ambaye sio empty ila hapo nimejaribu kulinganisha huo ubora mnaosema na baadhi ya wachezaji wanaosajiliwa hivi unataka kuniambia Abdi ana thamani kumzidi Zimbwe jr
 
Ligi itakapoanza aliyelamba dume atafahamika.
 
Kambole hana hata shoot on target na kasepeshwa wazee wa mafungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…