OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
wewe Msingida unakumbuka nilikuuliza hili ukaruka? kiko wapi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uelezee kwanza huo ubora wa Aziz Ki kitakwimu kisha nikuletee takwimu za mchezaji wa Simba Sc.Mtaje mchezaji wa Sasa au miaka 20 iliyopita namba 10 mwenye uwezo wakucheza eneo lote la mbele apo Simba kama K. Aziz
Hussein Massanza, niliku eleza kwenye ule uzi wako wa kwanza kuhusiana na huyu mchezaji, lakini ukaona kama naku challenge hivi, hatimaye yametimia…….
Takwimu anazo Manula na ukuta wote wa Simba, kuanzia DSM mbaka Benin.Uelezee kwanza huo ubora wa Aziz Ki kitakwimu kisha nikuletee takwimu za mchezaji wa Simba Sc.
Subirini moto wake ...mtatia huruma sana nyie..badala ya kusajili watu wa maana mnabakia na migogoro tu saa hiziAkitaja nitag[emoji23][emoji23][emoji23]
Majamaa yanabeba free agent tu(wachaezaji wa bure) wanaishia kubeba kina kambole,morisson,ki azizi, n.k hawawezi kununua mkataba hao
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Hapa sasa umeproove nilichotangulia kusema mwanzani, Aziz Ki ni mchezaji mzuri ila sio tishio kama mnavyojaribu kulikuza jina lake.Takwimu anazo Manula na ukuta wote wa Simba, kuanzia DSM mbaka Benin.
Tangu mwanzo tumewaambia mtuonyeshe hata mchezaji mmoja wa maana mliyeesajili kiasi cha kutamba hivyo, mtupe na sababu za kwanini mnadhani ni hatari (takwimu zao walikotoka).Subirini moto wake ...mtatia huruma sana nyie..badala ya kusajili watu wa maana mnabakia na migogoro tu saa hizi
Aziz KiNi mchezaji gani wa maana ambaye amevunjiwa (amepambaniwa) mkataba na Yanga,...? We taja hata mmoja tu😂
Kwahiyo hujui mkataba wa Aziz Ki pale ASEC ulikuwa ukingoni msimu huu?? Fuatilia kisha urudi tena mkuu, hamjavunj mkataba wa mchezaji yoyote yule mliosajili. Lakini pia hakuna team zozote kubwa zilizohitaji saini ya mchezaji huyo kiasi cha nyinyi kudai kuwa mbagombea wachezaji sokoni.Aziz Ki
wewe ni wakala wake?Kwahiyo hujui mkataba wa Aziz Ki pale ASEC ulikuwa ukingoni msimu huu?? Fuatilia kisha urudi tena mkuu, hamjavunj mkataba wa mchezaji yoyote yule mliosajili. Lakini pia hakuna team zozote kubwa zilizohitaji saini ya mchezaji huyo kiasi cha nyinyi kudai kuwa mbagombea wachezaji sokoni.
Swala la mkataba wa mchezaji kuisha linahitaji wakala? Ki amecheza misimu miwili pale ASEC (alisaini mkataba wa miaka miwili).wewe ni wakala wake?
leta hapa huo mkatabaSwala la mkataba wa mchezaji kuisha linahitaji wakala? Ki amecheza misimu miwili pale ASEC (alisaini mkataba wa miaka miwili).