Habib Kyombo ndiye mshambuliaji pekee hatari mzawa hapa nchini, Mgunda asimweke sana benchi

Habib Kyombo ndiye mshambuliaji pekee hatari mzawa hapa nchini, Mgunda asimweke sana benchi

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Tuache ushabiki, kuingia kwa Habib Kyombo kumeipa ahueni sana Simba. Kyombo alikuwa anakwenda angani na mabeki wa Yanga.

Bangala na Job na aliweza kushinda mipira yote ya juu, alikuwa na uwezo wa kupiga chenga, alikuwa akionyeshana sana ubavu na mabeki wa Yanga.

Habib Kyombo hastahili kukaa benchi, huyo Manzoki tunayetaka kumwaga mahela ni afadhali tuendelee na Kyombo.
 
Kyombo ni mchezaji mzuri, akipata nafasi mara na muda w kutosha atakuwa tishio sana

Kama maskauti wa Mamelody Sundowns walimuona na wakamsajili basi ujue ana kitu cha ziada, ni swala la muda tu atakubalika zaidi na kung'ara ktk media zetu
 
Tuache ushabiki, kuingia kwa Habib Kyombo kumeipa ahueni sana Simba, Kyombo alikuwa anakwenda angani na mabeki wa yanga, bangala na job na aliweza ku win mipira yote ya juu, alikuwa na uwezo wa kupiga chenga, alikuwa akionyeshana sana ubavu na mabeki wa yanga.

Habib kyombo hastahili kukaa benchi, huyo manzoki tunayetaka kumwaga mahela ni afadhali tuendelee na Kyombo

Samahani mkuu..unamjua manzoki lakini? samahani lkn
 
Yaani umeona uzi wangu ukaamua ucopy na kupaste kuanzisha wako siyo

Umeona uzi wangu ukacopy na kupaste mada yangu kwa kuanzisha uzi mpya. Siyo kesi ila nadhani ungechangia kule maana hakuna ushindani humu.
 
Tuache ushabiki, kuingia kwa Habib Kyombo kumeipa ahueni sana Simba, Kyombo alikuwa anakwenda angani na mabeki wa yanga, bangala na job na aliweza ku win mipira yote ya juu, alikuwa na uwezo wa kupiga chenga, alikuwa akionyeshana sana ubavu na mabeki wa yanga.

Habib kyombo hastahili kukaa benchi, huyo manzoki tunayetaka kumwaga mahela ni afadhali tuendelee na Kyombo
Huna akili.Ndilo ninaloweza kusema kwa sasa
 
Back
Top Bottom