TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
R.I.P H.M.Ali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtafurahiNgoja kifo kitokee hapo ufipa.
Ndio utaje taje chama. Elewa kifo hakina chama.Mtafurahi
Mbona tunalazimishana?Ndio utaje taje chama. Elewa kifo hakina chama.
Nani anakulazimsha; au unajishtukia?Mbona tunalazimishana?
OkNani anakulazimsha; au unajishtukia?
Hata angekua mwanamuziki pia bendi yake ingetajwaKwani aliyefariki ni mwanamuziki?
R.I.PHabib Mohammed Ali, Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Mkoa wa Kaskazini Pemba amefariki Dunia wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya SAIFEE Jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Salim Bimani amesema taarifa za mazishi zitatolewa baada ya kushauriana na familia.
Wameshindwa kuibaTangulia Kamanda, hapo tunawaza msiba CCM wanawaza jinsi ya kuiba uchaguzi huo.....