Habibu B. Anga (The Bold) Mungu akupe maisha marefu sana, afya njema pamoja na baraka tele. I sincerely appreciate your writings brother. All the best

Nikiri wazi kabisa,Binafsi ni msomaji mzuri wa makala mbalimbali kutoka majukwaa tofauti.Ila Habibu B. Anga unastahili pongezi kweliiiii.... Libarikiwe tumbo lililokuzaa.

Mkuu infantry kongole kwako pia.
 
Makala ya kuchinja watu inadosari gani mkuu utujuze ?
Dosari zipo nyingi sana, na hapa huu si muda muafaka, ila kama nilivyo dodosa hapo juu ya kuwa amekosea kuanzia katika anuani ya mada na katika yale yaliyomo, sababu ile mada mada inahusu Elimu fulani ya mambo ya kisheria,Elimu ambayo ili upate usahihi wake inabidi uoate muda wa kuwauliza wasomi wa Elimu hiyi, jambo ambalo mtoa mada hakulifanya zaidi ya kutuwekea masimulizi, hii ikapelekea kukosea mambo mengi juu ya ile mada.
 
Umeeleweka vyema mkuu ,kongole kwa kulitambua hilo kwani hata mimi nilikuwa na mashaka nayo katika baadhi ya sehemu.
 
Wabongo mmenishinda tabia kwa kweli. Siwawezi
 
Umefanya kitendo cha uungwana kuona mema ya huyu bwana Habibu B. Anga .
Binafsi namfatilia sana lakini naomba kumbusha kitu katika Unit 15 ile story namba moja ajitahidi asiende mbali sana ili tuweze kuelewa vizuri.

I appreciate him.
 
Umefanya kitendo cha uungwana kuona mema ya huyu bwana Habibu B. Anga .
Binafsi namfatilia sana lakini naomba kumbusha kitu katika Unit 15 ile story namba moja ajitahidi asiende mbali sana ili tuweze kuelewa vizuri.

I appreciate him.
Mimi ninamfuatilia Habibu tangia mwaka 2017 mpaka sasa. The guy is very very bright when it comes to narrating a story.
 
Sawa mlalamikaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…