Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upande wangu huwa situmii tena neno kua fulani anaroho mbaya kama mnyama.. maana binaadam tunamatendo ya hovyo kuliko hao wanyama.. I love their kindnessHadithi nzuri sana ya huyo mbwa . Kama wanadamu hatukosi cha kujifunza kwa kweli uvumilivu upendo na uaminifu. Kama tungalikua kama huyo mbwa kitabia kusingekuwepo maumivu kati yetu, lakini ajabu hayawani wametuzidi kwa tabia njema japo hawana akili.
Ni taa zinazotumika kufua tembo juu ya chura pembeni ya katiba msumeno.nyuzi ndo nn mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Ni taa zinazotumika kufua tembo juu ya chura pembeni ya katiba msumeno.
Zimefika, nimemuanika juu ya kamba ili akauke.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Msalmie huyo kwenye avatar
Hahaaa kwanini umekimbilia huko mbali kwenye papuchi mbona hujasema chooni au chuoni? you're Dumb and dirty minded.."kamwe walikua hawatengani, alipo Hachi na Eizaburo yupo, alipo Eizaburo Hachi yupo"
Sasa wakati Prof anakung'uta papuchi Hachi alikuwa anawalia chabo au ?
Sijui kwanini,lakini mbwa ni mnyama ambaye simuamini kabisa.A dog is a man's best friend
Mkuu kitambo sananadhani ulitaka kuandika interested
Wakati unarudi na Mama Swalehe?Mbwa wangu huwa anarud kuchungulia kama narud
Afanye yake na madem zake ...
Huyu nae ni shujaa kwangu ...
Naomba tuweke sanam yake ...
Yes mkuuWakati unarudi na Mama Swalehe?
Unataka la sh ngapsijambo kingozi aisee shida bando ndio linatutenganisha
Ngoja nikopeLa buku mbili tu linatosha kuniwezesha kuandika documentary zangu.. na kuperuzi humu