Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
- Thread starter
- #161
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He he he he Ndahani, kweli wewe za zamani.
Mwambie hivi, swallow me like how the fish swallowed Jonah.
Atanitema jumla jumla maana ni wa moto hataniweza. Baadhi ya vitu tunavyokutana navyo online vinachekesha sana. Ndo haya mambo ya kuongea na mtu unafikiria ni mwema mwisho wa yote unaishia kwenye matatizo makubwa.
Ha ha ha, ila kweli.
Ndahani mwishowe utataka nitoe siri. teh teh teh. Mbona wajihami hivo?Atanitema jumla jumla maana ni wa moto hataniweza. Baadhi ya vitu tunavyokutana navyo online vinachekesha sana. Ndo haya mambo ya kuongea na mtu unafikiria ni mwema mwisho wa yote unaishia kwenye matatizo makubwa.
BAK hivo hivo mdogo mgogo nitafika tu! Sijawahi tamani june ifike haraka kama kipindi hiki.
kama sio cheating basi naombea itokee tena. teh teh the. ili isije nipeleka ni cheat kweli buree!
LOL! lakini ali mradi unaota ndoto za "kukusaidia" kupunguza nanihii 🙂🙂 basi hakuna shida June itaingia muda si mrefu ujao mrudi tena kujirusha kwenye viwanja vyenu kwa raha zenu...si ajabu mnaweza haya kuamua kuijaribu tena style bubu kwi kwi kwi :behindsofa:
......tatizo ni pale utapoanza tafuta uthibitisho wa utamu huo toka kwa "perfect stranger..."
Si wazijua zile za " I have a Dream!"...kama Martin Luther King?
Naona hii week hii ni yangu!! Baada ya kupita majaribu na boyfie mambo yamenigeukia tena.
Kwanza inabidi mjue kua alikua hayupo kasafiri karibu miezi miwili na tukajeruhiwa kabla
ya kuridhisha nafsi ma miili yetu. Alipokuja ndio hapo alipokuja
na style ya kuumiza viungo na kutufanya hamu yote iishe. Jana nimejisikia Uchovu mwili mzima
nikapumzika kwenye sofa sebuleni huyoo nikapitiwa na usingizi. Nilipoamka ghafla nikanyanyuka
huyo hadi chumbani, nikavua nguo , nikaenda kuoga na kuamua nitoke Out yap eke yangu kwa
nikapate mbili tatu kwa ajili ya kupoteza mawazo na maumivu tokana na style bubu.
Mungu si Juma wala si Athumani baada ya kunywa akajitokeza kaka na kusogea karibu yangu pale
kuomba aninunulie kinywaji, nikamwambia nimetosheka kama anaweza twende on the dance floor tucheze
muziki. Aka Smile na kukubali, aliposmile ndio nikaona wazi kua he is cute in a mannish way.
Baada ya mazungumzo ya dakika moja kanichekesha vya kutosha hao tukaenda kucheza. Sikumbuki kitu.
Naomba msinijaji, kitu pekee nakumbuka ni kua wakati tunacheza niligundua ana strong arms. I like that.
Lililofuata hapo ni kua najishtukia tupo nae kitandani tupo Kokrochi death na ndio kwanza nimepandisha mlima na
cumming like neva b4. Mwili wote hauna nguvu, I feel like a baby na mwepesiiiii. Mara mlango unafunguliwa kwa Nguvu!
Boyfie kaingia na kutukuta hivo ndio kwanza hata kuachiana bado.. Nampenda sana, najishangaa
imekuaje nimemsaliti??!! Roho inanilipuka!! Nakurupuka kama vile nimetoka usingizini! Roho inaenda mbio!!
Kuangalia vizuri na pale pembeni nakuta boyfie bado kalala hana habari nan i usiku wa manane.
Kumbe nilikua naota labda tokana na genye nyingi nilizo nazo. Lakini najisikia kabisaaa kama vile nimetoka
kufanya na nimeamka lakini bado najisikia mwepesi na nimeshiba. I touch myself naona kama vile nimetoka
kufanya hakuna ubishi. I look at my boyfie, I feel guity.
I feel guilty sababu kwa kweli yule stranger wa usingizini was good, nilitamani ndoto isiishe iwe milele.
Nisaidieni jamani hio sawa na Kucheat?
No mwaaaah, am confused. :decision:
Sante@Vinci.
As the vows goes.....
for better, for worse, for richer, for poorer, in sickness and in health, until death do us part.
Ukiangalia hapo sioni in dreams and in thoughts..., kwahio in that token you are okay.., the action involves the doings not the mere thoughts
So I can say you are safe, if all of us our thoughts could have been painted graphically am sure no one would have been in a relationship