Hadhi ya Ubalozi ya Dkt. Slaa ilikuwa mzigo mkubwa kwake, hakupewa kwa maamuzi ya Mwenyenzi Mungu bali kwa maamuzi ya wanadamu. Sasa yupo huru

Mkuu Pohamba, Dr Slaa ananasimamilia
maslahi ya Taifa kama wewe. Tofouti zenu ni itikadi.
Hakuna maslahi ya Taifa kwa kuangalia nani ni Rais wakati huo!

Unafiki ndio adui mkubwa wa Taifa kuliko ufisadi
 
Dp world haitakiwi , kesho Kanisani tunasomewa waraka na kuelezwa namna CCM inavyoumiza wananchi

Ni vita rasmi kati ya Kanisa la MITUME na CCM

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
kwanini wasiwape copy muwe mnajisomea lila asubuhi na jioni badala ya kusubiri weeknd pekee ?
 
Ujinga wenu wa "kichadema"
Ndio unaoendelea kufanya mnapuuzwa sababu ya ufinyu wa akili za wafuasi wa Chadema kama wewe!
 
Nadhani mzigo mkubwa zaidi kwake ulikuwa ni Upadri
Tangu kuvuliwa Upadri amekuwa huru kuzini apendavyo
 
Safi sana.
Wewe kweli ni Great thinker..
Umetoa mifano hai sana japo wenye agenda yao bado hawatokuelewa
 
Mkuu Pohamba, Dr Slaa ananasimamilia
maslahi ya Taifa kama wewe. Tofouti zenu ni itikadi.
Kanusha kwanza hoja zake alizozitoa dhidi ya Slaa sio kung'ang'aniza tu eti anapigania ...
 
alipokuwa anasoma ule Msemo wa Fainali uzeeni alidhani lazima uwe mchezaji ?

wenzie tulipokuwa tunajenga familia zenye maadili na misingi ili tuje kuzeeka vyema yeye alijenga heshima kwny viuno vya makahaba …akidhani hatozeeka
Hivi kutetea rasilimali Ina maana maisha yako ni magumu?
 
Hahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…