Tz mtasonga pakubwa mking'oa hiyo kanu yenu.....yani ccm.huyu mganga wa chato ni mateka wa chama hicho.kalemewa na mwenge na huku anadai kubana matumizi.We Towashi wa 2, hebu nipe elimu yako kwanza? Eti Tanzania inawategemea Kenya kwa mazao ghafi, unaweza kuleta ushahidi wa unachosema! Kenya hii yenye njaa kila mwaka?
Lazima ajenge institutions sio kushtukiza kila jambo.one man army kwa nchi ni uchawi.nao wana ccm hawatalikubali hili maana itawanyima mahala pakumbana.