BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
kwani ngapi ngapi mkuu, nipo BushKwa msimu huu wameumaliza vizuri maana kwapale msimbazi ushindi dhidi ya Yanga ni zaidi ya Kombe.
Msubiri Abubakar Liongo au Bujaga Izengo Kadago saa 2 kasoro bro.kwani ngapi ngapi mkuu, nipo Bush
Kwenye FA watajileta tena wasitegemee bahati kuwadondokea mara ya pili tunawasubilia kwa hamu kubwa, wameshinda leo na maneno yamekuwa mengi but watajaa kwa mara nyingine ndio tutajua wameshindaje leoKwa matokeo ya leo 2-0 dhidi ya Yanga, hakuna shaka tena kuwa hawadaiwi na mashaabiki wao, iwe wakipoteza dhidi ya Wydad na hata wasipochukuwa kombe la NBC au la Azam Confederation.
Kazi wameimaliza leo. Tukutane msimu ujao.
😗pole sanaaaa mkuu vumilia najua unacho kipitia😅😅😅ila kibu d nimbayaaaaaKwenye FA watajileta tena wasitegemee bahati kuwadondokea mara ya pili tunawasubilia kwa hamu kubwa, wameshinda leo na maneno yamekuwa mengi but watajaa kwa mara nyingine ndio tutajua wameshindaje leo
Akiba ya maneno ni muhimuKwenye FA watajileta tena wasitegemee bahati kuwadondokea mara ya pili tunawasubilia kwa hamu kubwa, wameshinda leo na maneno yamekuwa mengi but watajaa kwa mara nyingine ndio tutajua wameshindaje leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha hasira mkuu Kwan ukimwambia tumefungwa mbili bilaa itabadilisha matokeoMsubiri Abubakar Liongo au Bujaga Izengo Kadago saa 2 kasoro bro.
HakikaaAkiba ya maneno ni muhimu
Na hii tunawapiga. Na Rivers watawapigaKwenye FA watajileta tena wasitegemee bahati kuwadondokea mara ya pili tunawasubilia kwa hamu kubwa, wameshinda leo na maneno yamekuwa mengi but watajaa kwa mara nyingine ndio tutajua wameshindaje leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee kwa kutesekaaaaKwa msimu huu wameumaliza vizuri maana kwapale msimbazi ushindi dhidi ya Yanga ni zaidi ya Kombe.
Kwa msimu huu wameumaliza vizuri maana kwapale msimbazi ushindi dhidi ya Yanga ni zaidi ya Kombe.
Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.kwa ligi hatuna shida nako sana sasa macho yote kimataifa
ndani ya ligi hatuna wakujipima nae kabisa nafikiri mechi zinazofuata wapinzani wa onywe kutochezea wachezaji wetu vibaya kwani tuna majukumu kimataifa,pia yanga tulisha waonya sana si sio watani wao tena ila nafikiri mnajua tabia za vyura.
yanga jifunzeni kucheza kisasa hiki ndicho simba tunagombana na nyie tengenezeni wachezaji wa kisasa
kibu alivyofunga mliona alipotaka kushangilia sana kishamba akazuiwa sijui kama yanga mliona na kujifunza kitu apo
Hamna kocha hapo. Robertinho angepewa wachezaji wa yanga, yanga ingechukua kombe la caf cl
Uto mnamaumivu sana.Mbumbumbu tunaridhika kilofa sana.
Si tulikubaliana Kocha atayeifunga Yanga ndiye hatafukuzwa wala si kuleta kombe lolote pale Msimbazi sababu Professor Nabi kafukuzisha Makocha zaidi ya watatu na Simba hakuwahi kuifunga Yanga TZ PL tangu 2019?
Tuendelee kuchukua makombe ya kuifunga Yanga FC na kuwa wasindikizaji bora wa CAF Club Champions league hadi maji tuite mma.
• Head to head Makolokolo Vs Yanga, Yanga FC Dume/Baba lao (kashinda mechi nyingi zaidi).
• TZ PL trophies, Yanga FC Dume/Baba lao (kabeba mara nyingi zaidi).
• Simba = Underdog kwa Yanga anayejitutumua tu.
[emoji24][emoji24][emoji24]Kwenye FA watajileta tena wasitegemee bahati kuwadondokea mara ya pili tunawasubilia kwa hamu kubwa, wameshinda leo na maneno yamekuwa mengi but watajaa kwa mara nyingine ndio tutajua wameshindaje leo