BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Kwa matokeo ya leo 2-0 dhidi ya Yanga, hakuna shaka tena kuwa hawadaiwi na mashaabiki wao, iwe wakipoteza dhidi ya Wydad na hata wasipochukuwa kombe la NBC au la Azam Confederation.
Kazi wameimaliza leo. Tukutane msimu ujao.
Kazi wameimaliza leo. Tukutane msimu ujao.