Hadi kijana wa Tanzania anamaliza form four anatakiwa ajue haya yafuatayo...

Hadi kijana wa Tanzania anamaliza form four anatakiwa ajue haya yafuatayo...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nafikiri sasa wakati umefika kurekebisha mitaala iweze kum equip kijana na maarifa mbali mbali ya sasa....ili akiingia mtaani aweze moja Kwa moja kuchangia maendeleo na sio kugeuka mzigo wa na kuanza tena kupewa "training" ili aweze Ku fit in...
Hizi trainings vijana wapewe kabla hawajamaliza kidato cha nne...

1.Ushonaji..au utengenezaji nguo..,Viatu,mabegi n.k...

2.Utengenezaji furniture...

3. ujenzi hatua ya Veta Ile..

4 ufundi wa electronics Veta stage

5. Matumizi ya computer na smart phone.....inasikitisha Sana kuona kuna watanzania bado wanalipa hela kuelekezwa namna ya Ku download watsap n.k. dunia ya sasa....

6. Sheria basics za ardhi...hii itaepeusha Sana migogoro ya ardhi na ujenzi holela mitaani..


7. sheria ya jinai ..basics ..itaepeusha Sana rushwa mahakamani na polisi...

8. usalama barabara... asilimia zaidi ya 50 ya wanaomaliza wanaenda kuwa bodaboda na karibu wengine wote watahusika na vyombo vya moto baadae ..Wengi watanunua Tu leseni..Bora sheria hizi za usalama barabarani zisomwe mashuleni.....

9. ujasiriamali na customer care..
Asilimia kubwa ya wajasiriamali Tz hawajui kabisa customer care..dunia ni kijiji...wanaohudumiwa sio Tu watanzania hata wageni wanaokuja nchini....

10. Serikali na mifumi yake inavyofanya kazi...Leo ukimuuliza Mtanzania kazi ya manispaa au kazi ya diwani ni nini Wengi hawajui...au hata kazi ya mbunge ni nini ...imekuwa kawaida Kwa watanzania kuomba hata hela wabunge wao....na hatujiulizi shida iko wapi...

11. Bima ya afya...unakuta mtu msomi kabisa anakwambia ntalipaje bima nisipoumwa je....

12. Kodi,tozo ,ushuru...kazi yake faida yake na hasara yake mwananchi asipolipa Kodi .

13. Digital marketing...na online scams...


Mengine mtajazia...
 
Nafikiri sasa wakati umefika kurekebisha mitaala iweze kum equip kijana na maarifa mbali mbali ya sasa....ili akiingia mtaani aweze moja Kwa moja kuchangia maendeleo na sio kugeuka mzigo wa na kuanza tena kupewa "training" ili aweze Ku fit in...
Hizi trainings vijana wapewe kabla hawajamaliza kidato cha nne...

1.Ushonaji..au utengenezaji nguo..,Viatu,mabegi n.k...

2.Utengenezaji furniture...

3. ujenzi hatua ya Veta Ile..

4 ufundi wa electronics Veta stage

5. Matumizi ya computer na smart phone.....inasikitisha Sana kuona kuna watanzania bado wanalipa hela kuelekezwa namna ya Ku download watsap n.k. dunia ya sasa....

6. Sheria basics za ardhi...hii itaepeusha Sana migogoro ya ardhi na ujenzi holela mitaani..


7. sheria ya jinai ..basics ..itaepeusha Sana rushwa mahakamani na polisi...

8. usalama barabara... asilimia zaidi ya 50 ya wanaomaliza wanaenda kuwa bodaboda na karibu wengine wote watahusika na vyombo vya moto baadae ..Wengi watanunua Tu leseni..Bora sheria hizi za usalama barabarani zisomwe mashuleni.....

9. ujasiriamali na customer care..
Asilimia kubwa ya wajasiriamali Tz hawajui kabisa customer care..dunia ni kijiji...wanaohudumiwa sio Tu watanzania hata wageni wanaokuja nchini....

10. Serikali na mifumi yake inavyofanya kazi...Leo ukimuuliza Mtanzania kazi ya manispaa au kazi ya diwani ni nini Wengi hawajui...au hata kazi ya mbunge ni nini ...imekuwa kawaida Kwa watanzania kuomba hata hela wabunge wao....na hatujiulizi shida iko wapi...

11. Bima ya afya...unakuta mtu msomi kabisa anakwambia ntalipaje bima nisipoumwa je....


Mengine mtajazia...
Huu ni ukweli, haina haja ya kijana anamaliza form four au six akiwa kichwani amekariri vitabu vya literature au na mathematics concepts kibao na ma quatam physics halafu anaingia nazo mtaani kwenda kuuza maandazi au kumsaidia fundi kubeba tofali, au kwenda kuwa konda, au dereva wa bodaboda au saloon, au kuuza bar n.k
 
Wakati namaliza form 6 marafiki zangu wengi sana walikua wakiomba ushauri ‘Mwanangu unanishauri nikasome nini chuo’

Tuna safari ndefu sana
 
Sanaa ya biashara na usimamizi wa kodi.

Tax officers na tax payers wetu wengi wao ni vilaza kwa sababu ya kukosq msingi madhubuti
 
Nafikiri sasa wakati umefika kurekebisha mitaala iweze kum equip kijana na maarifa mbali mbali ya sasa....ili akiingia mtaani aweze moja Kwa moja kuchangia maendeleo na sio kugeuka mzigo wa na kuanza tena kupewa "training" ili aweze Ku fit in...
Hizi trainings vijana wapewe kabla hawajamaliza kidato cha nne...

1.Ushonaji..au utengenezaji nguo..,Viatu,mabegi n.k...

2.Utengenezaji furniture...

3. ujenzi hatua ya Veta Ile..

4 ufundi wa electronics Veta stage

5. Matumizi ya computer na smart phone.....inasikitisha Sana kuona kuna watanzania bado wanalipa hela kuelekezwa namna ya Ku download watsap n.k. dunia ya sasa....

6. Sheria basics za ardhi...hii itaepeusha Sana migogoro ya ardhi na ujenzi holela mitaani..


7. sheria ya jinai ..basics ..itaepeusha Sana rushwa mahakamani na polisi...

8. usalama barabara... asilimia zaidi ya 50 ya wanaomaliza wanaenda kuwa bodaboda na karibu wengine wote watahusika na vyombo vya moto baadae ..Wengi watanunua Tu leseni..Bora sheria hizi za usalama barabarani zisomwe mashuleni.....

9. ujasiriamali na customer care..
Asilimia kubwa ya wajasiriamali Tz hawajui kabisa customer care..dunia ni kijiji...wanaohudumiwa sio Tu watanzania hata wageni wanaokuja nchini....

10. Serikali na mifumi yake inavyofanya kazi...Leo ukimuuliza Mtanzania kazi ya manispaa au kazi ya diwani ni nini Wengi hawajui...au hata kazi ya mbunge ni nini ...imekuwa kawaida Kwa watanzania kuomba hata hela wabunge wao....na hatujiulizi shida iko wapi...

11. Bima ya afya...unakuta mtu msomi kabisa anakwambia ntalipaje bima nisipoumwa je....


Mengine mtajazia...
12. Kusema Uongo na kupiblndisha kweli
 
Sahihi……

India huwa wana utani wao ya kuwa kila teenager akiwa high school alishafanya part time job kama IT support somewhere…… kwa kiasi fulani utani wao una ukweli.
 
14..MMU MAHUSIANO, MAPENZI NA URAFIKI NA NDOA KWA UJUMLA
 
15... Fursa za nje ya nchi..
Namna ya kusafiri na namna ya kufanya kuzikamata fursa nje ya nchi
 
Back
Top Bottom