Hadi kufikia Novemba 24, 2024, Idadi ya watu waliopaswa kuondoka Marekani ni 1,445,549, wamo watanzania 301


Hata Trump Marekani sio kwake,,,yeye ni wakuja vilevile.....
 
Idadi ni kubwa sana, mass deportations.

Ina maana kwamba Watu wote hawa kweli hawana Vibali halali vya kuishi Marekani au Utawala wa Trump wameamua tu makusudi kuwafukuza Watu hao hata kama bado wanastahili kupewa nyongeza ya muda wa kuendelea kuishi katika nchi hiyo?
 
Ni aina ya UCHAWI.....wivu unamla mtu ndani kwa ndani,,,,,,,,,mimi nashangaa kijana wangu kanipa mwaliko nije kuosha macho kidogo lakini watu nyumbani waninipigia simu ATI NIPO SALAMA????!!!!!!!!! 🙄🙄😳😳🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Orodha ya watanzania siioni.......naona idadi tu.....
 
Hii inaharibu haki za binadamu kuishi popote ili mradi havunji sheria, hawa wageni wamekaa miaka mingi huko inakuwaje wanarudishwa nchi zao?
Wabongo kwa unafiki tupo vizuri. Mchina alikuwa anauza mpk mahindi ya kuchoma. Mkaanza kelele zenu, ohh mchina anafanya kazi mpk za wazawa.
Hao wabongo huko Marekani wanamakampuni?
 
Alafu triump Safari hii mbona wamoto Sana anataka kufanana na mwendazke
Naamini kabisa anaeza asichukue around wakam'bwaga watu ni binadamu lakin binadamu si watu
Hili linawezekana
Kuna shamba la mzungu mmoja wafanyakazi wake ni kina Amigo......wooote wamejificha sasa mifugo inakufa anapata hasara ya kufa mtu,,,,,,hilo shamba ni kubwa na halijawahi kufungwa hata kipindi cha COVID......na huyo ni tajiri mmoja tu ,,,,,,,sasa wapo maelfu ya matajiri wanalia kwa kukosa wafanya kazi.....WAFANYAKAZI WAMEJIFICHA.......
Pengine hii ni nguvu ya soda mwezi February atapoa.....
 
Wabongo kwa unafiki tupo vizuri. Mchina alikuwa anauza mpk mahindi ya kuchoma. Mkaanza kelele zenu, ohh mchina anafanya kazi mpk za wazawa.
Hao wabongo huko Marekani wanamakampuni?
Ni kinyumeche...watoto wa kizungu...hawawezi kufanya kazi zinazofanywa na wazamiaji...i.e. kutunza wazee kuwaosha mavi etc
 
Ni kinyumeche...watoto wa kizungu...hawawezi kufanya kazi zinazofanywa na wazamiaji...i.e. kutunza wazee kuwaosha mavi etc
Watatengeneza machine za kuwaosha mavi.
Sisi mbona mchina akiuza mahindi tunawafukuza?
 
Kabisa
waweke majina tuone fitna zao
Kuanika Majina ya Watu hadharani ni kinyume kabisa na Taratibu za Sheria za Kimataifa kuhusu privacy za watu. Majina ya Watu wanaofukuzwa (deportees) yanaweza kutolewa kwa Wahusika tu, Yaani Mamlaka za nchi walikotokea hao Wahamiaji pamoja na/au kwa next of kin wa hao Watu
 
Na hivi Trump kaamua kusitisha misaada, hapo ndio kwa nchi ambazo hazina biashara ya moja kwa moja na US, zinaweza kuwakataa hao raia wake, na Trump hatakuwa na la kufanya bali kuwarudisha US na kuwagharamia malazi na chakula milele au kuwaachia waendelee na maisha ndani ya US...


What happens when countries do not agree to take back deportations?
The U.S. needs receiving countries to cooperate for deportation to work; this generally involves a diplomatic agreement.

"Countries control their own air space as well as who enters their country," Mittelstadt said. "The foreign government must know who is coming, validate that the individuals being returned are their nationals (or from nationalities where they have agreed to accept return), and agree to accept their return."

Certain countries, including Iran, Russia and Ethiopia do not accept U.S. deportation flights, and, as a consequence, the U.S. government can impose visa or economic sanctions against them.

But countries' cooperation with deportation flights can ebb and flow based on diplomatic relations or changing governments, Mittelstadt said.

Cuba, China and Venezuela, for example, generally don’t accept deportees from the U.S. However, under President Joe Biden’s administration, Venezuela and Cuba accepted some deportation flights. In Venezuela, the flights resumed after Venezuela’s president and opposition leader in 2023 agreed on conditions to hold elections, which triggered the U.S. to relieve some sanctions on Venezuela.

Migrants from countries that don’t accept deportations are released into the U.S. because in 2001, the U.S. Supreme Court ruled that people cannot be in immigration detention indefinitely.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…