Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Hiyo ndiyo taswira ya waTz, yaani kuufyata.Sawa, hauna video, lakini hata kwenye redio haukuchezwa pia
(a) Ni kwamba wamiliki wa redio zetu pamoja na watangazaji wao hawana uhakika na uhuru wa vyombo vya habari walionao?
(b) Au ndo kusema kuwa barua kutoka BASATA zilisambazwa sehemu husika kimya kimya pasi na taarifa kwa umma?
Wacha nikae kimya, nina familia inayonitegemea
Wasafi unapigwa..Mawingu ndo usiseme EFM ndo balaa
Watu wanausikiliza UTUBE! Waende na huko wakaufungie; hawajui kwa kuufungia ndio wanaupa promotion!! Hawa ndezi kweli kweli.Nilisikia uishafungiwa na basata kitambo