Hadi sasa EX wangu ndo namba moja yangu

nilikuwa nampa mimi joh, au hujaelewa
Unampa nini acha kuficha maradhi wewe ushasema alikua anakupiga jeki sababu alikua anajikimu kabla ya wewe kujiweka sawa sasa mbon unataka kujifanya? Unampa na wenzako wanampa mission ilikua hivyo sasa ukila vya wanaume jiandae kisaikolojia
 
Unampa nini acha kuficha maradhi wewe ushasema alikua anakupiga jeki sababu alikua anajikimu kabla ya wewe kujiweka sawa sasa mbon unataka kujifanya? Unampa na wenzako wanampa mission ilikua hivyo sasa ukila vya wanaume jiandae kisaikolojia
We jamaa bana, haya basi tuseme wewe ndo unaejua.
 
Nilicho jifunza ukiishi na mtu kinyumba....mkiachana unaweza ingia Kwenye mausiano Mengi.......Ili usijutie kuachana inaitajika upate mtu Bora Zaid yake & vise versa is true
 
Unampa nini acha kuficha maradhi wewe ushasema alikua anakupiga jeki sababu alikua anajikimu kabla ya wewe kujiweka sawa sasa mbon unataka kujifanya? Unampa na wenzako wanampa mission ilikua hivyo sasa ukila vya wanaume jiandae kisaikolojia
Mpunguze ujuaji mwingi kwenye story za WATU...kama unaona anafaidi tusimulie wewe.....povu ruksa😎😎😎😎
 
Duh!! Kiutamaduni wewe bado mdogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…