Hadi sasa hakuna shabiki wa Simba aliyeilalamikia TFF, Yanga mna la kujifunza

Hadi sasa hakuna shabiki wa Simba aliyeilalamikia TFF, Yanga mna la kujifunza

Afisa Tabibu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
511
Reaction score
848
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi

Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Vipi kesho mtachoma tena hirizi au ni mwendo wa jogoo mweusi?
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Wanachokijua Mashabiki wa uto ni unafiki na kuomba mayele awatie mimba wamzalie watoto
 
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi

Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Sio ajabu janaume kama wewe kuomba kutiwa mimba na mayele!

Hawa mashabiki wa utopolo sijui akili waliziacha wapi
 
Mashabiki wa uto wengi wao hawajielewi. Striker wa uto anaulizwa kuhusu kutokufunga goli mechi kadhaa anajibu hajafunga sababu anakamiwa na mabeki. Yaani anajibu vile vile kama akili za mashabiki wa uto zilivyo.
 
Moja ya kuzaliwa na bahati mbayaa ni kujikuta shabiki wa uto.
Kama bahati mbaya yenyewe ni sisi Wananchi leo kuja na fire extinguisher uwanjani basi sawa
 

Attachments

  • 20220519_111813.jpg
    20220519_111813.jpg
    18.7 KB · Views: 9
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi

Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Usifananisha kubwa na kongwe ,yanga ni timu kongwe na siyo kubwa ,basi kama ni kubwa ni kubwa jinga
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Yaani unataka Yanga ijifunze nini kwa washirikina?
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Miaka minne bila ubingwa si mchezo
 
Miaka minne bila ubingwa si mchezo
Simba kabla ya kuchukua ubingwa mara 4 Mfululizo ilikaa miaka mitano mfululizo bila kutwaa ubingwa, nenda kafuatilie jedwali la ubingwa. Na msimu huu Simba Hana wa kumlalamikia timu Yao ndio iliyo pewa penalty nyingi kuliko timu yoyote kwenye ligi Sasa abebwe vipi na abebeki.

Timu imetokewa kwenye michuano ya kimataifa ikibatizwa kua timu inayo husudu uchawi kuliko timu yoyote Afrika.
 
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.

Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Timu lialia.. Timu dekadeka...ndio zao
 
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi

Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Subiri kichapo leo
1705868718-1431272006.jpg
 
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi

Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Nyie si ndo baba wa kununua mmenunua TFF NA KARIA
 
Back
Top Bottom