Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..