Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawiMashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Vipi kesho mtachoma tena hirizi au ni mwendo wa jogoo mweusi?Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Wanachokijua Mashabiki wa uto ni unafiki na kuomba mayele awatie mimba wamzalie watotoMashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Sio ajabu janaume kama wewe kuomba kutiwa mimba na mayele!Usilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi
Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Basi mwenyewe unajiona mjanja kushabikia JUJU FC.Moja ya kuzaliwa na bahati mbayaa ni kujikuta shabiki wa uto.
Kama bahati mbaya yenyewe ni sisi Wananchi leo kuja na fire extinguisher uwanjani basi sawaMoja ya kuzaliwa na bahati mbayaa ni kujikuta shabiki wa uto.
Usifananisha kubwa na kongwe ,yanga ni timu kongwe na siyo kubwa ,basi kama ni kubwa ni kubwa jingaUsilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi
Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Anayeamini juju huyo ndie mpiga hujui mkuuBasi mwenyewe unajiona mjanja kushabikia JUJU FC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namna gani hapa [emoji23]Kama bahati mbaya yenyewe ni sisi Wananchi leo kuja na fire extinguisher uwanjani basi sawa
😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namna gani hapa [emoji23]
Yaani unataka Yanga ijifunze nini kwa washirikina?Mashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Haya ni maneno ya watoka kuzimuMoja ya kuzaliwa na bahati mbayaa ni kujikuta shabiki wa uto.
Miaka minne bila ubingwa si mchezoMashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Simba kabla ya kuchukua ubingwa mara 4 Mfululizo ilikaa miaka mitano mfululizo bila kutwaa ubingwa, nenda kafuatilie jedwali la ubingwa. Na msimu huu Simba Hana wa kumlalamikia timu Yao ndio iliyo pewa penalty nyingi kuliko timu yoyote kwenye ligi Sasa abebwe vipi na abebeki.Miaka minne bila ubingwa si mchezo
Timu lialia.. Timu dekadeka...ndio zaoMashabiki wa Simba wanadeal na timu yao, pamoja na makosa ya waamuzi yaliyowapa Yanga matokeo hadi wanaenda kuchukua ubingwa hatujasikia mashabiki wa Simba wakilalamikia TFF wala Karia.
Yanga mna la kujifunza.... mngekuwa nyinyi sasa, pasingetoshaa..
Subiri kichapo leoUsilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi
Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...
Nyie si ndo baba wa kununua mmenunua TFF NA KARIAUsilinganishe timu kubwa ya yanga na hao wachawi
Simba hawalalamiki sababu kubwa ni kuwa wao ndio walalamikiwa wakubwa ndani na nje ya nje ya nchi
Kuhonga marefa
Kununua game
Kunyunyiza dawa vyumbani
Kununua wachezaji
Kujiangusha ndani ya box
Ulozi...