Uchaguzi 2020 Hadi sasa kimkakati CHADEMA wameizidi CCM

Kwa hiyo wewe unapima kura kwa kuangalia nyomi.
Yes Moja Ya ishara ya Ushindi in Nyomi Maana Mgombeanaonyesha kujubalika hill eneo sasa in kwamba MAGUFULI KILA APITAPO ANAISAFISHA NA KUIZIKA CHADEMA MFANO MWANZA NA SHINYANGA
 
CCM bila wasanii ingekuwa ni aibu tupu, hiyo ndiyo faida ya kuongea peke yako miaka 5 mizima...sasa leo utaongea lipi jipya ili wananchi wavutiwe kukusikiliza?. Kama si kuja kuwashangaa wasanii
IVI KUNA SEHEMU CHADEMA MLIKATAZWA KUALIKA WASANIII YAANI WASANI HATA MAREKANI KWENYE KAMPENI WANAHUSISHWA MSIUMIE SANA KWA KUZIDIWA MAARIFA YA KAMPENI ILA HATA NYIE SI MNAO AKINA SUGU NA PROF
 
Ha, ha, ha, watu wanafuata muziki tu kwenye matamasha ya Meko Fiesta.

Mwambieni awaondoe hao wasanii kisha abaki yeye na Chakubanga tu ndipo atatambua kwamba watanzania hawamhitaji awamu hii.
 
go to www.kujifariji.com
 
Yes Moja Ya ishara ya Ushindi in Nyomi Maana Mgombeanaonyesha kujubalika hill eneo sasa in kwamba MAGUFULI KILA APITAPO ANAISAFISHA NA KUIZIKA CHADEMA MFANO MWANZA NA SHINYANGA
Unataka uletewe nyomi za mikutano ya Lissu.
 
Kwa hiyo wewe unapima kura kwa kuangalia nyomi.
Experience ya Dom inakuwa ni muhimu kulizingatia. Yaani inafikia kiwango cha kuwatisha watumishi wa umma kuhuzuria kusikia sera mbadala, ama pia kwa kuwatishia madereva wa bajaji na bodaboda (i.e. kekee & akado men).

Huu ni upunguvu wa kiwango cha juu ktk ujengaji wa hoja na pia kuweza kuzipangua. CCM ni lazima ikubaliane na madhaifu ya sera zake.
 
Ccm mikutano yao wanabeba watu kwenye maroli mfano leo mwanza tumekuja namaroli kirumba, chadema watu wanakuja wenyewe.
 
CCM tunaongea tunayotekeleza hatuongei habari za kusadikika ndio maana tunakuwa wakweli hatupambi wala kuremba
 
CCM tunaongea tunayotekeleza hatuongei habari za kusadikika ndio maana tunakuwa wakweli hatupambi wala kuremba
Kwa kipindi cha miaka 5 serikali imeongeza Mishahara?
 
Magu hana nyomi. Fiesta ya CCM ndo ina nyomi
MTAELWA TU KWA SABABU MNAJITIA VICHWA NGUMU KUUKATAA UKWELI DUNIA NZIMA WASANIII NIBSEHEMU YA KAPENI SEMENI MMECHANGISHA WABUNGE PESA MMEKULA HAMWEZI WALIPA HAHAHA WADHULUMATI WAKUBWA NYIE
 
Kwa kipindi cha miaka 5 serikali imeongeza Mishahara?
Imewapunguzia mizigo Watumishi Kwa kuwasomesha watoto wao bure kurahisisha miundo mbinu pia wataongezwaa ndio maana hawaachi kazii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…