Mzee kubali tu!! CCM mmeishiwa. Kama mnategemea wasanii tu msingelazimisha na watumishi wa umma waje kwenye mikutano yenu.MTAELWA TU KWA SABABU MNAJITIA VICHWA NGUMU KUUKATAA UKWELI DUNIA NZIMA WASANIII NIBSEHEMU YA KAPENI SEMENI MMECHANGISHA WABUNGE PESA MMEKULA HAMWEZI WALIPA HAHAHA WADHULUMATI WAKUBWA NYIE
Unajua maana ya mshahara, hivi konda akikupunguzia nauli utasema kakuongezea mshahara.Imewapunguzia mizogo Watumishi Kwa kuwasomesha watoto wao bure kurahisisha miundo mbinu pia wataongezwaa ndio maana hawaachi kazii
Nenda kapigwe miti huko!
Nani kasema Chadema wasiweke mabango wasitangazwe kwenye TV, hata wakitaka TV gani itakubali, ninachosema pamoja na kunyimwa access hizo zote bado wanaenda sambamba na CCM wenye access hizo.
KUNA sehemu initwa Magu huku Mwanza kunasehemu inaitwa kisesa igoma Buzuruga mabaiti pote Mzee alisimamishwa na hakuna Msanii alieimbabila shangwe kwa mzeee baba lilikuba balaaaa so kubali KUWA Mzee baba in shida anapendwa mpka CHADEMA WAMEANZA ETI NDEGE YA LISSU INATAKA KUFANYIWA NJAAMA IANGUKE HAHAHAHAHAHAMzee kubali tu!! CCM mmeishiwa. Kama mnategemea wasanii tu msingelazimisha na watumishi wa umma waje kwenye mikutano yenu.
Mjiandae kung'olewa madarakani bila huruma yoyote , na nyie msio na taaluma yoyote ambao mnaishi kwa kulamba miguu ya jiwe jiandaeni kuchimba mitaro ya barabara ili kupata cha kujikimuKwa hiyo?
Mkija Dar watoto wetu hatuwezi kukubali wakapigwe na jua kama Mwanza..Napenda sana Chadema mnavyojipa moyo.
Kwa taarifa yako kampeni ya mkoa mmoja aliyofanya magufuri ni sawa na mikutano yenu yote Chadema iliyofanya katika kanda zote mpaka sasa. CCM ni chama kubwa nadhani leo umeiona vizuri mwanza. CCM KIRUMBA hakukuwa na sehemu ya kutema mate ndani na nje acha kule gola milimani.
Mwanzo mlisema hatafikisha asilimia 5 leo mmeongeza 20 kesko zitakuwa 50.Sioni ni wapi chadema imewazidi ccm wakati kura zikipigwa lisu hatazidi asilimia 20 ya kura!
Hilo ni nyomi la mgombea ubunge tu tena mwanamke bila diamond wala singeli.Hakuna Nyomi Ambalo Lissu Kamzidi MAGU Sehemu zote waluzopitaaa
Hahaha eti mbeba boxCcm inaondoka! Ila hutaumia Kwa sababu, sera za CHADEMA za kudumisha diplomasia zitakugusa hata Wewe, kwa mfano uraia pacha! Mboga mboga wote hawapendi mahusiano ya kimataifa, kitu ambacho kama hakita kuathiri Wewe kitathiri watoto wako unaozaa huko unakobeba box!
ULIENDA SHULE KUSOMEA UJINGA??🤣🤣🤣🤣Kwa hiyo?
Mnajua sana kujidanganya. Mwanza hiyo! Zaidi ya nusu ya waliokuwepo Kirumba ni hao na hawajui cha kura wala makalio ya kura, wao ni Diamond lakini sio magu sio polepole na sio wewe ni kicheko tuu.Hivi nyie bado mna mawazo ya kushindanisha na ccm.CCM wamemaliza kampeni leo pale Mwanza mnazoleta humu ni porojo tu.Fuatilia channel ten saa hivi Magufuli yuko zake Mwanza anapunga upepo na punde kapiga simu kwenye mkutano wa kampeni kule Rombo kaongea na wananchi na kuomba kura kwake kwa mbunge na madiwani. Chadema achaneni na Magufuli mtatapika damu
Watoto wa shule ambao hawapigi kura na mateja walioenda kushangaa shoo ya diamond na zuchu ndio waliohudhuria kirumba, 20% tu ndio watu wazima na wapiga kura halaliNapenda sana Chadema mnavyojipa moyo.
Kwa taarifa yako kampeni ya mkoa mmoja aliyofanya magufuri ni sawa na mikutano yenu yote Chadema iliyofanya katika kanda zote mpaka sasa. CCM ni chama kubwa nadhani leo umeiona vizuri mwanza. CCM KIRUMBA hakukuwa na sehemu ya kutema mate ndani na nje acha kule gola milimani.
Mwenye macho haambiwi tazamaKwa hiyo?
IVI Watoto Huwa Wanahesabika kwa Magufuri Wakiwa CHADEMA ni watu wazima HahahaHilo ni nyomi la mgombea ubunge tu tena mwanamke bila diamond wala singeli.
View attachment 1562490
Ndugu zangu wote hakuna aliyepotea, kwahiyo siwezi kushabikia kitu nisichokijuaHahaha alienda kubweka pale magu. Wakamzom
Ben Sanane
Alfonso mawazo
Anzory gwanda .
Wako wapi?
Yawezekana pia hujui kwamba wewe ni mpumbav atiiiii?Ndugu zangu wote hakuna aliyepotea, kwahiyo siwezi kushabikia kitu nisichokijua
Wamehodhi mpaka kuta na nguzo za umeme nchi nzima ambako wapinzani hawaruhusiwi kubandika mabango yao!CCM imetandaza mabango ya picha kubwa kubwa za mgombea wao nchi nzima karibu kila ukuta huku Chadema ikionekana kutokuwa na mabango lkn mwitikio wa wahudhuriaji hauna tofauti yoyote.
Lkn mbona haisaidii?Wamehodhi mpaka kuta na nguzo za umeme nchi nzima ambako wapinzani hawaruhusiwi kubandika manage yao!