Hadi sasa nimeshatumia 12,000$ kwenye matangazo Instagram (Facebook). Je, Serikali huwa inakusanyaje Income tax kwa hii kampuni?

==================================
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili

 
Mjadala ukifikia hitimisho mnistue
==================================
Update: 01/09/2021
Mwigulu ameliona suala hili

 
Hiyo bidhaa hata ingetangazwa na JF bado ingewafikia tu wateja, ishu hapa ni kwamba wanaingiza mapato toka Tanzania, kwanini hakuna mfumo wa kuchukua income tax kwa income waliyovuna? Why??!!!
Hiyo itakua ngumu sana. Hivi tunavyoingia tu mtandaoni si tunatumia data? Pale serikali haipati kodi kwenye megabytes??
 
Uko sahihi kabisa
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…