Hadi Sasa sijaona Tundu Lissu akifanya Siasa za Maigizo na Mizaha. Anazingatia ile Injili "Msikae Mabarazani kwa wenye Mizaha", kaanza na Warioba

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu anaonesha umakini mkubwa sana kwenye Uongozi

Kwa mara ya kwanza Nchini Chama Cha siasa kimepata mabadiliko ya kweli ya Uongozi

Mabadiliko haya ya Chadema yatumike kama Darasa la Faida na Hasara za Demokrasia

Ahsanteni sana šŸ˜„
 
Hicho ndio kinawaumiza. Plan aliyokuja nayo. Maana mlitegemea siku mbili tu aitishe mikutano. Kumbe mwenzenu kaja kivingine.
Hakuna chochote. Hata alipokuwa anapambana kuwa Rais wa TLS alikuwa hivi hivi; kelele nyiiiiingi, lakini alipokuwa Rais wa TLS HAKUNA. Narudia HAKUNA chochote alichokifanya. Kama kipo niambie nitafuta kauli yangu.
 
Mbona kwenye familia yako hujafanya chochote.

Nb: Hata hotuba yake ni substantial.
Ahahahahaha! Nina watoto wawili vyuo vikuu na HAWANA MIKOPO mnayoililia ninyi. Gharama zao zote na cater mimi mwenyewe kwasababu ni JUKUMU LANGU AS A FATHER!
 
Mzee mwenzangu kama una watoto chuo kikuu na una akili ya namna hii……Jitafakari kuna kitu hakipo sawa.
Wewe ndio upo vizuri kichwani? Ahahahahaha! Kwa lipi linaloonesha upo vizuri kichwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…