Hadi Sasa sijaona Tundu Lissu akifanya Siasa za Maigizo na Mizaha. Anazingatia ile Injili "Msikae Mabarazani kwa wenye Mizaha", kaanza na Warioba

Hadi Sasa sijaona Tundu Lissu akifanya Siasa za Maigizo na Mizaha. Anazingatia ile Injili "Msikae Mabarazani kwa wenye Mizaha", kaanza na Warioba

Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu anaonesha umakini mkubwa sana kwenye Uongozi

Kwa mara ya kwanza Nchini Chama Cha siasa kimepata mabadiliko ya kweli ya Uongozi

Mabadiliko haya ya Chadema yatumike kama Darasa la Faida na Hasara za Demokrasia

Ahsanteni sana 😄
Ila Kwa ccm hii ya Samia awe mvumilivu tu
 
Back
Top Bottom