Hadi Sasa sijaona Tundu Lissu akifanya Siasa za Maigizo na Mizaha. Anazingatia ile Injili "Msikae Mabarazani kwa wenye Mizaha", kaanza na Warioba

..then akutane na Viongozi wa Kidini ( kitaasisi lakini pia mmoja mmoja) ila wale wapenda mabadiliko, ..go go Mnyampaa
Lissu akutane na CDF,IGP ,MWANASHERIA MKUU, JAJI MKUU, NA KISHA RAIS.
 
Ila Kwa ccm hii ya Samia awe mvumilivu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…