Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu anaonesha umakini mkubwa sana kwenye Uongozi
Kwa mara ya kwanza Nchini Chama Cha siasa kimepata mabadiliko ya kweli ya Uongozi
Mabadiliko haya ya Chadema yatumike kama Darasa la Faida na Hasara za Demokrasia
Ahsanteni sana 😄