Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Ni tangu nwezi wa saba nafaidi mema ya internet ya Tigo postpaid. sina haja ya kujibana ama mambo ya kuzima data, natwanga tu.

Offcourse kulikuwa na kash kash za speed kushuka usiku ila nilikuja kutatua tatizo kwa kutafuta wifi router naitega sehem yenye network internet speed saf tu.

GB 80 kwa shilingi elf 60 kwangu wala sijutii, hio ni sawa na shilingi 750 kwa kila GB, hii ni mmalum kwetu wale wenye mikataba ya zamani, niliskia bei zilipanda amradufu ila kwa sasa zimeshuka upya japo si kama kwa mara ya kwanza.

Voda supakasi naskia wapo fresh ila bei ndio kipengere kwa baadhi yetu, bei ya chini kqwao ni 120,000, Pengine wangepiga mkasi iwe walau elf 50 hadi 60 ningerukia mtumbwi wao
 
Tigo haishiki huko nilipo ukisikia za airtel unishtue
Airtel ukienda ofisini kwao ukiwa na tin namba yako na leseni ya biashara wana kuunga vifurushi vya sme

Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel

22 GB kwa 20,000
35 GB kwa 30,000
60 GB kwa 50,000

Vifurushi vya sme ukinunua router ya airtel ya 50

22 GB kwa 20,000
35 GB kwa 30,000
65 GB kwa 50,000
100 GB kwa 75,000
200 GB kwa 100,000/=

mitandaoni nako naona kuna vishoka wanaviunga kwa elf 10 hata kama huna leseni lakini hivyo vya kununua router ni lazima uongezee elf 50 ya router
 
Airtel ukienda ofisini kwao ukiwa na tin namba yako na leseni ya biashara wana kuunga vifurushi vya sme

elf 20 gb 22
elf 30 gb 35
elf 50 gb 60

ukinunua na router yao ya elf 50 kuna kifurushi cha ziada elf 75 gb 100
Hivyo ninavyo
 
Ni tangu nwezi wa saba nafaidi mema ya internet ya Tigo postpaid. sina haja ya kujibana ama mambo ya kuzima data, natwanga tu.

Offcourse kulikuwa na kash kash za speed kushuka usiku ila nilikuja kutatua tatizo kwa kutafuta wifi router naitega sehem yenye network internet speed saf tu.

GB 80 kwa shilingi elf 60 kwangu wala sijutii, hio ni sawa na shilingi 750 kwa kila GB, hii ni mmalum kwetu wale wenye mikataba ya zamani, niliskia bei zilipanda amradufu ila kwa sasa zimeshuka upya japo si kama kwa mara ya kwanza.

Voda supakasi naskia wapo fresh ila bei ndio kipengere kwa baadhi yetu, bei ya chini kqwao ni 120,000, Pengine wangepiga mkasi iwe walau elf 50 hadi 60 ningerukia mtumbwi wao
Mkuu hiyo ya tigo naipataje!?
 
Airtel ukienda ofisini kwao ukiwa na tin namba yako na leseni ya biashara wana kuunga vifurushi vya sme

elf 20 gb 22
elf 30 gb 35
elf 50 gb 60

ukinunua na router yao ya elf 50 kuna kifurushi cha ziada elf 75 gb 100

mitandaoni nako naona kuna vishoka wanaviunga kwa elf 10 hata kama huna leseni
Bei zake!?
 
Bado gharama Ni kubwa yani ikizidi hapo ni 5GB ambayo huwezi huwezi hata ku-download software
Kwa wanaofanya kazi kwenye intaneti bado ni hasara

Hamieni Kenya , mambo kidogo yapo vizuri
 
Hivi Nikitaka kujua deni nalodaiwa kwa mwezi husika kwa huduma hii ya tigo post paid, naangalia wapi? Mimi waliniunga kati kati ya mwezi GB pungufu ya zile nilizoomba nikaambiwa nitazilipia hizo kwanz then mwezi ujao kuanzia tarehe moja wataniunga zote...
 
Airtel ukienda ofisini kwao ukiwa na tin namba yako na leseni ya biashara wana kuunga vifurushi vya sme

Vifurushi vya sme bila kununua router ya airtel

22 GB kwa 20,000
35 GB kwa 30,000
60 GB kwa 50,000

Vifurushi vya sme ukinunua router ya airtel ya 50

22 GB kwa 20,000
35 GB kwa 30,000
65 GB kwa 50,000
100 GB kwa 75,000
200 GB kwa 100,000/=

mitandaoni nako naona kuna vishoka wanaviunga kwa elf 10 hata kama huna leseni lakini hivyo vya kununua router ni lazima uongezee elf 50 ya router
Mm nimeungwa na kishoka nainjoy tu, halotel changamoto yao mpaka uungwe huwezi kujiunga mwenyewe
 
Back
Top Bottom