Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

Hadi sasa sijutii kuwepo tigo postpaid, sioni dalili yoyote ya kuhama labda tu voda supakasi waje na vifurushi vya ziada kwa bei nafuu

Bado gharama Ni kubwa yani ikizidi hapo ni 5GB ambayo huwezi huwezi hata ku-download software
Kwa wanaofanya kazi kwenye intaneti bado ni hasara

Hamieni Kenya , mambo kidogo yapo vizuri
Kenya kivipi aseww
 
Ni tangu nwezi wa saba nafaidi mema ya internet ya Tigo postpaid. sina haja ya kujibana ama mambo ya kuzima data, natwanga tu.

Offcourse kulikuwa na kash kash za speed kushuka usiku ila nilikuja kutatua tatizo kwa kutafuta wifi router naitega sehem yenye network internet speed saf tu.

GB 80 kwa shilingi elf 60 kwangu wala sijutii, hio ni sawa na shilingi 750 kwa kila GB, hii ni mmalum kwetu wale wenye mikataba ya zamani, niliskia bei zilipanda amradufu ila kwa sasa zimeshuka upya japo si kama kwa mara ya kwanza.

Voda supakasi naskia wapo fresh ila bei ndio kipengere kwa baadhi yetu, bei ya chini kqwao ni 120,000, Pengine wangepiga mkasi iwe walau elf 50 hadi 60 ningerukia mtumbwi wao
vipi hizo 80GB zikiisha, unaweza kuendelea ku access kwa speed ndogo kama ilivyo Voda Supakasi.
Natumia Voda 24GB kwa 50,000/= ila zikiisha GB zao naendelea ku access kwa walau speed ya 2-3Mbps
 
Hivi Nikitaka kujua deni nalodaiwa kwa mwezi husika kwa huduma hii ya tigo post paid, naangalia wapi? Mimi waliniunga kati kati ya mwezi GB pungufu ya zile nilizoomba nikaambiwa nitazilipia hizo kwanz then mwezi ujao kuanzia tarehe moja wataniunga zote...
Kuna text Huwa zinakuja kukumbusha unadaiwa kiasi gani na ulipe kabla ya tarehe gani....
 
Mi nilikutana nae humu join kama vip t.me/smatskillstz anaitwa Master
Nishapata mkuuu shukran
Screenshot_20230503-183728~2.png
 
Hivi Nikitaka kujua deni nalodaiwa kwa mwezi husika kwa huduma hii ya tigo post paid, naangalia wapi? Mimi waliniunga kati kati ya mwezi GB pungufu ya zile nilizoomba nikaambiwa nitazilipia hizo kwanz then mwezi ujao kuanzia tarehe moja wataniunga zote...
*103#
 
Ni tangu nwezi wa saba nafaidi mema ya internet ya Tigo postpaid. sina haja ya kujibana ama mambo ya kuzima data, natwanga tu.

Offcourse kulikuwa na kash kash za speed kushuka usiku ila nilikuja kutatua tatizo kwa kutafuta wifi router naitega sehem yenye network internet speed saf tu.

GB 80 kwa shilingi elf 60 kwangu wala sijutii, hio ni sawa na shilingi 750 kwa kila GB, hii ni mmalum kwetu wale wenye mikataba ya zamani, niliskia bei zilipanda amradufu ila kwa sasa zimeshuka upya japo si kama kwa mara ya kwanza.

Voda supakasi naskia wapo fresh ila bei ndio kipengere kwa baadhi yetu, bei ya chini kqwao ni 120,000, Pengine wangepiga mkasi iwe walau elf 50 hadi 60 ningerukia mtumbwi wao
Natumia super kasi kama miezi 7 sasa, ina speed kali, hata ukitumia GB 20 kila siku niwewe tu.
 
Back
Top Bottom