Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanapuuzia ni hili suala la mikopo kwa nchi yetu.
Lakini hawajui kuwa mikopo hii ndio inayofanya miradi ya Maendeleo. Watu wanafurahia miradi Ila hawajui pesa inatoka wapi.
Utawala wa awamu ya 5 ulikopa na taarifa zilitolewa kila mwezi pale BOT lakini hakuna aliyejali, Leo tunakuja kuelezwa Deni lilipofikia watu wanakuwa wakali.
Hivyo ni vyema sasa tukawa tunakumbushana hali ya Deni linavyoendelea ili baadae tusije kusema hatukujua.
Kutokea April hadi November, Deni limeongezeka kwa Trillion 8
Hivyo kwa miezi 7 Tumekopa Trillion 8 ni wastani wa zaidi ya Trillion 1 kwa mwezi.
Nashauri speed hii ipungue kidogo.
Mama aajikite zaidi na kuongeza makusanyo maana kwa sasa watu hawatumii sana mashine za EFD, ni kama wameambia wafanye wanachotaka.
Lakini hawajui kuwa mikopo hii ndio inayofanya miradi ya Maendeleo. Watu wanafurahia miradi Ila hawajui pesa inatoka wapi.
Utawala wa awamu ya 5 ulikopa na taarifa zilitolewa kila mwezi pale BOT lakini hakuna aliyejali, Leo tunakuja kuelezwa Deni lilipofikia watu wanakuwa wakali.
Hivyo ni vyema sasa tukawa tunakumbushana hali ya Deni linavyoendelea ili baadae tusije kusema hatukujua.
Kutokea April hadi November, Deni limeongezeka kwa Trillion 8
Hivyo kwa miezi 7 Tumekopa Trillion 8 ni wastani wa zaidi ya Trillion 1 kwa mwezi.
Nashauri speed hii ipungue kidogo.
Mama aajikite zaidi na kuongeza makusanyo maana kwa sasa watu hawatumii sana mashine za EFD, ni kama wameambia wafanye wanachotaka.