Hadi sasa tumekopa Trillion 8, nashauri tupunguze kasi

Hadi sasa tumekopa Trillion 8, nashauri tupunguze kasi

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Moja ya vitu ambavyo watu wengi wanapuuzia ni hili suala la mikopo kwa nchi yetu.

Lakini hawajui kuwa mikopo hii ndio inayofanya miradi ya Maendeleo. Watu wanafurahia miradi Ila hawajui pesa inatoka wapi.

Utawala wa awamu ya 5 ulikopa na taarifa zilitolewa kila mwezi pale BOT lakini hakuna aliyejali, Leo tunakuja kuelezwa Deni lilipofikia watu wanakuwa wakali.

Hivyo ni vyema sasa tukawa tunakumbushana hali ya Deni linavyoendelea ili baadae tusije kusema hatukujua.

Kutokea April hadi November, Deni limeongezeka kwa Trillion 8
Hivyo kwa miezi 7 Tumekopa Trillion 8 ni wastani wa zaidi ya Trillion 1 kwa mwezi.
Nashauri speed hii ipungue kidogo.

Mama aajikite zaidi na kuongeza makusanyo maana kwa sasa watu hawatumii sana mashine za EFD, ni kama wameambia wafanye wanachotaka.

Screenshot_20211214-120654_1.jpg
Screenshot_20211214-120741_1.jpg
 
Kila mmoja apambane na Hali yake , aliyekuwa anapambania nchi yupo chato amelala Kwa uzuri kabisa ....!!! Jamaa mmoja yupo TRA juzi nimemsindikiza kununua eneo la 100mil , anadai kila wiki anachota 10 million ...wakope Tu , sku wakikaba nchi haina nouma
 
Utalia sana tu kwa sababu umekubali nchi kuendeshwa bila Bunge.Haya unayoyasema yalipaswa kusemwa na kukemewa na Bunge.

Ulipaswa upambane nchi iwe na Bunge kwanza na siyo kuja kulialia kwenye matokeo ya nchi kuendeshwa bila Bunge.

Tatizo kubwa la Mtanzania ni upunguani.The worst is yet to come!
 
Ni
Utalia sana tu kwa sababu umekubali nchi kuendeshwa bila Bunge.Haya unayoyasema yalipaswa kusemwa na kukemewa na Bunge.

Ulipaswa upambane nchi iwe na Bunge kwanza na siyo kuja kulialia kwenye matokeo ya nchi kuendeshwa bila Bunge.

Tatizo kubwa la Mtanzania ni upunguani.The worst is yet to come!
Ni mwaka gani bunge lilizuia serikali kufanya mambo yake?
Taja hata siku moja?
 
nashindwa hata ni comment nini ...maana nchi hii ina madudu hatar...wale tunaowaita wasomi wa nchi hii ndio vilaaaaazaaaaa afadhali hata ya mimi nisiyesoma hata darasa moja kuna wakati naweka mabandiko umu ya kukemea uchafu unaoendelea
 
nashindwa hata ni comment nini ...maana nchi hii ina madudu hatar...wale tunaowaita wasomi wa nchi hii ndio vilaaaaazaaaaa afadhali hata ya mimi nisiyesoma hata darasa moja kuna wakati naweka mabandiko umu ya kukemea uchafu unaoendelea
Hujasoma ujua kuandika ndugu yangu?

Kamba hii mbona mbovu.

Ukweli ni kwamba tunapigwa hadi tutachakaa.
 
Hujasoma ujua kuandika ndugu yangu?

Kamba hii mbona mbovu.

Ukweli ni kwamba tunapigwa hadi tutachakaa.
umeandika ki lugha gani ndugu mbona kama na wewe ndio wale wale wasomi wetu wa kibongo? ebu pitia tena iyo sms yako kisha naomba tafsiri ya ulichoandika....hata sijui umeandika makitu gan
 
Utalia sana tu kwa sababu umekubali nchi kuendeshwa bila Bunge.Haya unayoyasema yalipaswa kusemwa na kukemewa na Bunge.

Ulipaswa upambane nchi iwe na Bunge kwanza na siyo kuja kulialia kwenye matokeo ya nchi kuendeshwa bila Bunge.

Tatizo kubwa la Mtanzania ni upunguani.The worst is yet to come!
Taifa la wajinga na wabinafsi.
 
Utalia sana tu kwa sababu umekubali nchi kuendeshwa bila Bunge.Haya unayoyasema yalipaswa kusemwa na kukemewa na Bunge.

Ulipaswa upambane nchi iwe na Bunge kwanza na siyo kuja kulialia kwenye matokeo ya nchi kuendeshwa bila Bunge.

Tatizo kubwa la Mtanzania ni upunguani.The worst is yet to come!
Ndio hivyo mkuu lakini unahisi watu wangefanyaje ikiwa jjwe aliamua kutumia bunduki?
 
Ndio hivyo mkuu lakini unahisi watu wangefanyaje ikiwa jjwe aliamua kutumia bunduki?
Katika sayansi ya siasa na uongozi Jiwe yupo sahihi na viongozi wote wanapaswa kuwa kama jiwe kwa sababu haki na uhuru huwa havitolewi bure bali vinapaswa kuchukuliwa kwa nguvu.

Dhana hii bado Watanzania hawajaijui na ndiyo maana ukiingia huku JF utakutana na comments za vituko pamoja na zinazochekesha za kulaumu,kushauri na kuomba viongozi watimize wajibu wao.

Viongozi bila kushikishwa adhabu na wenye nchi ambao ni wananchi usitegemee kuwa watafanya la maana au kutimiza wajibu wao.Hiyo ni law kabisa kama zilivyo zile law za Physics za Sir Isaac Newton.
 
Ni

Ni mwaka gani bunge lilizuia serikali kufanya mambo yake?
Taja hata siku moja?
Kazi muhimu ya Bunge siyo kuzuia mauchafu ya Serikali bali wana jukumu zito la kufanya tafiti na kutuabarisha mauchafu ya serikali kama alivyokuwa anafanya Dr.Slaa

Baada ya hapo wananchi ambao ndiyo wenye nchi wakishajua kuwa wana serikali ya hovyo isiyofanya kile inachotumwa na wenye nchi basi wananchi wanachukua hatua ikiwa ni pamoja na kuiondoa Serikali hiyo madarakani kama ambavyo tumeshuhudia hilo katika Mataifa mbalimbali.

Wananchi wasipochukua hatua ni ujinga wao.Ni sawa na mwenye mke agundue kuwa mke analeta wanaume wengine ndani halafu atulie tu kama Zuzu bila kuchukua hatua,ni ujinga wake.
 
Utalia sana tu kwa sababu umekubali nchi kuendeshwa bila Bunge.Haya unayoyasema yalipaswa kusemwa na kukemewa na Bunge.

Ulipaswa upambane nchi iwe na Bunge kwanza na siyo kuja kulialia kwenye matokeo ya nchi kuendeshwa bila Bunge.

Tatizo kubwa la Mtanzania ni upunguani.The worst is yet to come!
Kazi ya binge nikuishauri serikali katika utendaji wake. Kwahiyo bunge haliwzi zuia serikalii kutenda kazi.
 
Kazi ya binge nikuishauri serikali katika utendaji wake. Kwahiyo bunge haliwzi zuia serikalii kutenda kazi.
Sijasema popote wala sijamaanisha kuwa Bunge lizuie serikali kufanya mauchafu.

Kazi muhimu ya Bunge siyo kuzuia mauchafu ya Serikali bali wana jukumu zito la kufanya tafiti na kutuabarisha mauchafu ya serikali kama alivyokuwa anafanya Dr.Slaa

Baada ya hapo wananchi ambao ndiyo wenye nchi wakishajua kuwa wana serikali ya hovyo isiyofanya kile inachotumwa na wenye nchi basi wananchi wanachukua hatua ikiwa ni pamoja na kuiondoa Serikali hiyo madarakani kama ambavyo tumeshuhudia hilo katika Mataifa mbalimbali.

Wananchi wasipochukua hatua ni ujinga wao.Ni sawa na mwenye mke agundue kuwa mke analeta wanaume wengine ndani halafu atulie tu kama Zuzu bila kuchukua hatua,ni ujinga wake.
 
Sijasema popote wala sijamaanisha kuwa Bunge lizuie serikali kufanya mauchafu.

Kazi muhimu ya Bunge siyo kuzuia mauchafu ya Serikali bali wana jukumu zito la kufanya tafiti na kutuabarisha mauchafu ya serikali kama alivyokuwa anafanya Dr.Slaa

Baada ya hapo wananchi ambao ndiyo wenye nchi wakishajua kuwa wana serikali ya hovyo isiyofanya kile inachotumwa na wenye nchi basi wananchi wanachukua hatua ikiwa ni pamoja na kuiondoa Serikali hiyo madarakani kama ambavyo tumeshuhudia hilo katika Mataifa mbalimbali.

Wananchi wasipochukua hatua ni ujinga wao.Ni sawa na mwenye mke agundue kuwa mke analeta wanaume wengine ndani halafu atulie tu kama Zuzu bila kuchukua hatua,ni ujinga wake.
Hakuna mauchafu katika utendaji wowote, unakosea kusema hivyo, kwa kila utendaji kuna mafanikio na changamotoo. Serikali haiwezi fanya uchafu, umekosea
 
CCM watu wa fix sana, wanasema uchumi unakua, tunajenga miradi kwa pesa zetu wenyewe - kumbe wanatoka usiku wanakwenda kukopa kwa mabeberu .

Sasa matokeo yake ndiyo haya kila mtanzania anadaiwa laki 6 na deni bado linaongezeka uchao.
 
Hakuna mauchafu katika utendaji wowote, unakosea kusema hivyo, kwa kila utendaji kuna mafanikio na changamotoo. Serikali haiwezi fanya uchafu, umekosea
Haya siyo mauchafu ni nini?
 
Back
Top Bottom