Hadi sasa wageni 182 wamegunduliwa na Corona kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya. Visa vyafikia 963

Je hivyo vipimo vipo?
 
Reactions: BAK
Hatuna nyumba zamabox huku kama kibera,waache waendelee na lockdown.SIE tumeshafungua anga huku TZ
 
You don't know what it means by blinking...and you are tackling issues very professional and diplomatic...very interesting...Go on ...We don't care...we know your hidden agenda...Endeleeni kusema kwa Wasomali na siyo TZ..
 
"New member" Aisee hivi mliona tanzania ni nchi ya wanjinga? Hakuna nchi ya EAC imefunga mpaka na Tz, Ni Kenya pekee..Migizo ina shushwa mpakani na madereva wa Tz, Mchukue hapo shida IPO wapi?
 

Hizi insha mnaandika sijui za faida gani, mkae mkijua kila jirani yenu ameweka sheria lazima mpimwe, hamuingii mtakavyo, ndivyo ilivyo na ndiyo itakavyokua hadi siku mtadhihirisha kweli kirusi hakipo kwenu na sio hadithi za mapaipai...
 
Magufuli agiza hao madereva wapimwe mara tu wanaporejeshwa huko Kenya.

Kwanini linachukua muda wote huu.
!??

We are not serious
 
Kama Vifaa tunavyo vya kupima covid-19 kwanini tusiwapime wanaojiandaa kuvuka mipaka yetu kabla hawajafika huko. 'from behind-the-scenes, we do not have covid-19 testing Gadgets on our borders'
MaCCM njooni mjibu hoja hii..!!
 
Hizi insha mnaandika sijui za faida gani, mkae mkijua kila jirani yenu ameweka sheria lazima mpimwe, hamuingii mtakavyo, ndivyo ilivyo na ndiyo itakavyokua hadi siku mtadhihirisha kweli kirusi hakipo kwenu na sio hadithi za mapaipai...
Nina hakika hao walalahoi walioko lockdown wakikutambua wewe MK254 lazima wakupige kwa mawe
 
Ila watanzania bwana; hivi kweli mnashabikia ujinga unaoendelea hapa kwa jinsi mlivyo-handle COVID-19 kijinga! Hamuoni hata aibu? Nyamazeni tu maana kweli tunatia aibua dunia nzima, na wacha tusemwe tu! Shame!
 

Kenya has never and will not close border with any of our neighboring countries, we have made it clear that no one is allowed into the country without going through mandatory examination to ascertain if they are fit to walk on our streets and won't infect us with any ailment, be it corona or otherwise.
This rule will be applied to each and everyone including our own countrymen returning back to the nation.
So your dirvers and citizens crying foul for being subjected to this rule will and must go through the procedure and whole process, NO EXCEPTION.... no amount of undugu wala blinking wala sijui vitu gani, lazima mpimwe...mpimwe na mpimwe.
 

Sasa si mmefunga mipaka? Endeleeni na hizo cooked data zenu za kihuni mnakuta wagonjwa 70 na kat yao mnasema 50 ni wtz najua kenya mmeathirika kwa kiwango kikubwa sana lakini kwa kutaka kuwachafulia wenzenu mnatuuzia wagonjwa. Baada ya kufunga utasikia wanasema wagonjwa wamepungua, si tuko hapa?

Kilichopo kw sasa na long run ni kuongeza viwanda kureplace bidhaa tunazoingiza na automatically tutajiuzia raw materials wenyewe na hapo tutakuwa tumeyaweza haya manyangau
 
Magufuli agiza hao madereva wapimwe mara tu wanaporejeshwa huko Kenya.

Kwanini linachukua muda wote huu.
!??

We are not serious
Magufuli alishasema vipimo vyetu hapa Tz huenda vinachakachua majibu.

Suluhisho hapo ni kuamini vipimo vya Kenya tu.
 

Kwa hivyo huko mnatajwa Zambia, Rwanda, Uganda n.k. wanawachafulia??? Acheni uzembe na kujichokea, pambaneni na hiki kirusi, haya makelele hayatapunguza corona.
 
Jamaa wanataka kuingia Kenya ila hawataki kupimwa, hizo ni ndoto za mchana. Tena ukipimwa upatikane una COVID-19 hauruhusiwi kuingia nchini Kenya. Hizo injili zao za kusema kwamba Corona ni kaugonjwa kadogo wazihubiri hukooo, mbali na mpaka wa Kenya.
 
Kama hivi vipimo vya Covid19 vya Kenya huko Namamga vinasema kweli, basi hali ya maambukizi hapa Tanzania ni mbaya sana kuliko tunavyoaminishwa.
 
Kwa hivyo huko mnatajwa Zambia, Rwanda, Uganda n.k. wanawachafulia??? Acheni uzembe na kujichokea, pambaneni na hiki kirusi, haya makelele hayatapunguza corona.

Tunapambana sana Brother, Sisi hii corona mbona tuna dawa yetu ya mitishamba? Nina ndugu yangu kapat Corona na ameshapona kitambo kwa kunywa hiyo dawa
 
Jamaa wanataka kuingia Kenya ila hawataki kupimwa, hizo ni ndoto za mchana. Tena ukipimwa upatikane una COVID-19 hauruhusiwi kuingia nchini Kenya. Hizo injili zao za kusema kwamba Corona ni kaugonjwa kadogo wazihubiri hukooo, mbali na mpaka wa Kenya.

Si mmetuzuia? tutaona kama maambukizi hayataendelea. Kupima si agenda kuu agenda kuu ni kujihadhari na kunywa dawa yetu ya kienyeji. Lockdown na kupima is nothing, unampima mtu akienda hatua kumi anao, ama lockdown unatengeneza vibaka wa mtaani, na ukimfungia mtu mwenye Corona ataiambikiza familia yote na hapo ndipo maambukizi yanaongezeka
 
Naona vita ya maneno imekua kubwa, wanaume huwa tunapenda vitendo, anzisheni basi, tuone Kama mtamaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…