Hadi sasa wageni 182 wamegunduliwa na Corona kupitia mpaka wa Tanzania na Kenya. Visa vyafikia 963

Wakina Shigella wanabwabwaja wakati wenzetu(Kenya) Internatinally wanatupiga Kisayansi tukija kustuka watalii wote mawahamia Kenya,hawa jamaa wanaangalia mbele sana. Wewe hupimi na unaitangazia international Community kwamba maambukizi yameisha na watu waje kutalii,mwenzio anapima sample space(madereva)kutoka kwako na kuitngazia International Community kwamba una kiwango kikubwa cha maambukizi kwasababu haufuati WHO guidiline.
 
Dongo moja tu la chuma kwa raisi wenu mmeogopa na kuacha kututaja mixa kuja kujobembeleza na kaubalozi kenu kama nyinyi jeuri kama sis endeleeni kutaja muone.mkwala kidogo tu wa tanga mmenyweaaaaaa
 
Mad Madereva wetu mnawarudisha alafu sisi hospitali hakuna wagonjwaaaaaaa aibuuuuu
 
Hilo siyo tatizo. Tunatambua Kenya na nchi nyingine zina uhuru wa kufanya hivyo. Ndiyo sababu na sisi tumefunga mipaka. Si umemsikia balozi wenu akiwa DSM ameshaanza kuomba poo? Wote tufunge mipaka tuvute subira, easy tu.
 
Tutamsameheee Tutamsameheeee bureeee
 
Hilo siyo tatizo. Tunatambua Kenya na nchi nyingine zina uhuru wa kufanya hivyo. Ndiyo sababu na sisi tumefunga mipaka. Si umemsikia balozi wenu akiwa DSM ameshaanza kuomba poo? Wote tufunge mipaka tuvute subira, easy tu.

Lazima mpimwe, baozi kaja kuwatekenya kwa kuwaita pumba za undugu na mavitu ambayo mnapenda kuydskia kwenye huo mfumo wenu wa kipuzi wa ujamaa, wala hata sijamskliza naona comments za watu na kujua kasema yale yale hamna jipya....lakini liko pale pale lazima mpimwe mkienda kwenye jirani yenu yeyote maana kwenu mumekua kitovu cha corona.
Ningeshangaa kama angethubutu kuturubuni kwa kusema atalegeza msipimwe....
 
We nkima skia" uyo balozi wenu anaogopa mziki wa Tz kama unabisha waulize Uganda.
 
Saivi nikipata mtaani watu wanasema hamna corona Tanzania, maana mkubwa kasha sema, sasa hao madereva sijui ni wametoka wuhan.

Ngoja tuone
 
May 19, 2020
Nairobi, Kenya

Tanzania yaongoza kwa corona
Kenya yaripoti visa vya wenye corona ktk kivuko vya mpaka wa Tanzania na Kenya.

Idadi kubwa ni waTanzania na wizara ya Afya Kenya wasifu kuweza kudhibiti korona kutoka Tanzania isiingie Kenya

Takwimu zinasema vipimo ktk vivuko vya mpakani mwa Tanzania na Kenya ni kuwa sampuli 214 zilionekana kuwa na virus vya korona. Sampuli 182 corona positive ni kutoka Tanzania huku 32 ni za waKenya waliogundulika kuwa na corona. Hivyo waziri wa Afya wa Kenya asema anachoweza kusema ni kutoa ushauri serikali ya Tanzania iongeze kampeni kudhibiti kuenea kwa corona.
 
Tz tunajitosheleza Kila nyanja maana sisi ni kama maji wasipo tunywa watatupikia wakishindwa kufanya yote hayo watatunawa kama maji tiririka maana kwao watapima miaka 10 mbele ili kupata mikopo kwa mabepari
uyo mama wa kikeny atakwambia wale waliokufa 50 ni madreva wa malori kutokea mpaka wa Tz na Kenya🤣🤣


Inasikitisha sana 🤣🤣
 
Sisi wooote waTz tuna Corona, nyie waKenya hamna kabisa hiyo Corona......

Tumefunga mpaka wetu ili tuwalinde nyie huko msipate Corona, Sasa kelele mnapiga za nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Unateseka sana na Tanzania

Jumapili tunakiwasha
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Mnajiandaa muwe mnafata Chakula Ethiopia

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…