Hadithi isiyo na mwisho

Hadithi isiyo na mwisho

Jina la hadithi= SIRI YA MAFANIKIO YANGU
Mtunzi= CHIT CHAT MEMBER
Wazo= donlucchese .
. . . . . . . Mahabusu wote waliokuwapo hapo selo walisogea mbali.
Nilianza kupata kibano kikali nikiwa hapo hapo siri,damu zilikuwa zikinitoka kwa wingi lakini hakuna hata askari mmoja alienihurumia.
Nilijikuta nikichangiwa na askari wanne kila mmoja akinipiga anavyotaka na anavyojua,sikuwalaumu sana askari hao ila nilijua wao hawajui ni kipi kilichotokea ndani hiyo.
Askari watatu waliondoka na kumuacha askari mmoja ambae alitoa mkanda na kuanza kuniadhibu nao,nilihisi maumivu makali. . . . . .
 
Last edited by a moderator:
. . . . . .nilihisi kuona nyota nyota kutokana na kipigo.
Nilikuta nikiishiwa nguvu,mwili mzima ulinilegea,nilitamani kumsemesha askari lakini nilijihisi mdomo kuwa mzito,nililala chini pole pole.
Nilijikuta nimeingia kwenye ulimwengu mwingine,na kuiona dunia nyingine.
Niliona watu wamevaa mavazi meupe.
Watu hao walikuwa wakinitaza bila ya kuniongelesha.
Walikuwa wamesimama mistari miwili kulikuwa na watoto,watu wazima,vijana na wazee.
Ghafla alitokea mtu mwenye ambae sikuweza kuiona sura yake kutokana na ilivyokuwa iking'aa kama mwanga wa jua.
Mtu huyo alinipa ishara kuwa nimfuate,nami sikusita nilikuta nikimfuata mpaka tulipofika sehemu kulipokuwa na watu wengine.
Watu hao walikuwa wanatisha,manywele marefu zaidi ya sharubu za simba,menu na kucha zao zilirefuka na kuonekana kali kama kisu kilichonolewa kwa ajili ya kuchinjia mnyama.
Mtu niliekwenda nae alipotea ghafla na kuniacha mimi na watu wale.
Watu hao wakutisha walianza kunisogelea,nyuso zao zilionekana kuwa watu wa shari na makatili.
Waliponikarabia,nilianza kukimbia huku nikipiga kelele za kuomba msaada.
Hakuna aliesikia,kwa bahati mbaya nilikutana na shimo moja refu ambalo lilikuwa halionekani mwisho wake,nilidumbukia ndani ya shimo hilo na kupiga makelele.
Nilishtuka na kujikuta bado nipo kituo cha polisi tena nikiwa nimefungwa kamba kwenye kiti huku mwili wangu umeloana kwa maji.
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
Baada ya kudondoka chini nilipoteza fahamu.
Askari yule aliwaamuru mahabusu wawili wanibebe ambapo walinipeleka chumba maalamu cha mahojiano
nilifungwa kamba kwenye kiti cha chuma na ndipo nilipomwagiwa maji na kuzinduka.
Nilina askari wawili wakiwa mbele yangu. . . .
 
Macho yaliona maruweruwe,nilijitahidi kutazama vizuri lakini macho hayakuwa katika muono mzuri
nilikaa na hali hiyo kama dakika moja ndipo nilipowaona vizuri askari hao.
Roho ilikuwa ikinidunda,nilijua mwisho wangu umefika.
Askari mmoja alinisogelea karibu na kunifungua.
"wewe ni jambazi" askari mmoja aliniuliza.
"hapana mimi siyo . . ." kabla sijamalizia jibu nilipewa kibao cha nguvu katika shavu langu la kulia na kunipa maumivu makali.
"kama wewe siyo jambazi kwanini umeua ndani ya kituo cha polisi"
nilikosa jibu,nilibaki kumtazama tu askari huyo bila ya kumpa jibu lolote.
"anaonekana kiburi sana huyu"
hapana afande mimi siyo kiburi" nilimjibu askari huyo.
Sasa kwanini umeua tena ndani ya kituo cha polisi ? "
nilikuwa kama nataka kuchanganyikiwa,ingawa ni kweli niliua kwa kujitetea lakini maaskari walionekana wakitaka kunibana kwa swahili hilo hilo moja.
Niliwaza jambo moja la kuwaambia maaskari hao . . . . .
 
Macho yaliona maruweruwe,nilijitahidi kutazama vizuri lakini macho hayakuwa katika muono mzuri
nilikaa na hali hiyo kama dakika moja ndipo nilipowaona vizuri askari hao.
Roho ilikuwa ikinidunda,nilijua mwisho wangu umefika.
Askari mmoja alinisogelea karibu na kunifungua.
"wewe ni jambazi" askari mmoja aliniuliza.
"hapana mimi siyo . . ." kabla sijamalizia jibu nilipewa kibao cha nguvu katika shavu langu la kulia na kunipa maumivu makali.
"kama wewe s
kwamba mimi sikuua kwa kukusudia bali nilikua najihami kama mjuavyo huwezi ukapigwa usirudishe mapigo
askari wale walibaki wakinisikiliza kwa makini bila ya majibu hali iliyopelekea na mimi kujiuliza..........
 
Back
Top Bottom