Hadithi: Mpangaji

Kuna uzi humu jf wameweka pdf za adithi kibao. Sema sijui unaitwaje huo uzi

huu apa mkuu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
braza una uandishi wa kipekee,hii inaonekana bonge la story
 
APA tulishamaliza kaka
 

Ngoja tutililike nayo
 
Asante sana kaka mie mdau wako wa kimya kimya haswa kwa Mzee Mnyoka nilikuwa silali😁Mwenyeezi Mungu abariki kazi ya mikono yako ufike mbali zaidi 🙏
Loh! Asante sana,
Kuna mzigo mwingine unaitwa MZAHA WA DAMU,
Uko tayari sema miundombinu ndio haijakaa poa namsubiria TAJIRI MKUU WA MATAJIRI 🤣🤣🤣🤣
 
Asante sana kwa kuturudisha ,,,ni mtunzi pekee unaye mwaga story mwanzo mwishooo
 
Sabuskraibudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika unautendea haki muda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…