Hadithi: Mpangaji

Hapa kuna la kujifunza enyi wanawake

Usiku ule ulikuwa wa furaha sana kwa wawili wale na ipofika asubuhi Esta alilipa Bili yote ya pale kisha safari ikaanza.
 
Yes hii wakati nauguza mguu wangu, nashuka nayo. Hivi unajua baridi hii ya asubuhi, mguu ndio unauma kama unakatwa duh. Asante acha niianze...

Yeah kwenye baridi inauma inavutaa balaaa!!
Pole dear hii asubuhi usisahau kuchuaa
anaekuchuaa asikuonee hurumaa asugue kwanguvu dawa ipenye vizuri!!
Hayo maumivu yake ni balaa!!
Ugua pole kipenzi!
 
Yeah kwenye baridi inauma inavutaa balaaa!!
Pole dear hii asubuhi usisahau kuchuaa
anaekuchuaa asikuonee hurumaa asugue kwanguvu dawa ipenye vizuri!!
Hayo maumivu yake ni balaa!!
Ugua pole kipenzi!
Asante sana na kwa maelekezo. Ubarikiwe sana mrembo Antonnia 😘😘😘
 
Yeah kwenye baridi inauma inavutaa balaaa!!
Pole dear hii asubuhi usisahau kuchuaa
anaekuchuaa asikuonee hurumaa asugue kwanguvu dawa ipenye vizuri!!
Hayo maumivu yake ni balaa!!
Ugua pole kipenzi!
Juzi nilikua napitia profile yangu ya Jf nikaona wewe upo kwenye thread zangu za kuanzia mwaka 2013-14 huko!

Kwa Bahati mbaya umefunga PM Yako ila namba yangu unayo naomba nitafute aisee!! Antonnia
 
Juzi nilikua napitia profile yangu ya Jf nikaona wewe upo kwenye thread zangu za kuanzia mwaka 2013-14 huko!

Kwa Bahati mbaya umefunga PM Yako ila namba yangu unayo naomba nitafute aisee!! Antonnia
Akhsaaannteeeeehhh ! Kumbe ni longtime number one big fan eeh auweeehhh🕺✌️!!

Wee Namba yako sina mkuu!
 
Mkuu hongera sana. Muda na Ujuzi wako ni thamani ya Juu
 
Hii Story nimeanza leo nikiwa MAKOLE - DOM, now napita Kibaha nimeshaimaliza
 
Leo nimeishia hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…