Hadithi: Mpangaji

Tumeshawasili dyadya...
 


Mambo yanazidi kunoga lol!!

Ester na Sele on the line 1 and 2!!

Ngoja tuone 🙇
 
"women will always let you down"

Alisema mwamba mmoja kwenye movie ya Bag man
 
Nimeweka namba Hapo napokea ushauri, maoni, pongezi na hata "bando" pia kama alivyoshauri Mcheza Viduku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wa JF wabahili saaana. Cha kufanya ni kuhamishia mzigo Telegram. Watu walipie bukubuku.



Kama mtu unashindwa kuandika Pongezi, huyu anayeandika simlizi ndefu hivi unajua anatumia muda kiasi gani?? Uchovu wake??
 
Kati ya sehemu zilizonifurahisha sana kwenye hadithi ni hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…