Hadithi: Mpangaji

Hadithi: Mpangaji

Kuhusu kujua mambo ya kisheria nilifuatilia sana
Kipindi kile Cha "kesi ya mbowe" na wenzake
Nilijua sana mambo mengi kupitia ule Uzi!!

Kwahiyo mtakuta episodes za mahakamani utadhani ni kibatala!!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu uko vizuri mwennyewe kwa stori kali kali, hongera sana.
 
Nimefurahia sana hii story. Naomba Asalaam Alaikum. Naombaunitag kwa story zako zote tafadhali.
Siku soma zilizotangulia Naomba msaada nizisome.
 
Duh!, nilianza kuisoma story hii leo mchana non-stop mpaka saizi ndo nimemaliza. Shukran CK Allan kwa simulizi bomba, ntakua naweka kambi kwenye story zako, hii nilichelewa kupata tag.
 
Nimefurahia sana hii story. Naomba Asalaam Alaikum. Naombaunitag kwa story zako zote tafadhali.
Siku soma zilizotangulia Naomba msaada nizisome.
Asante,
Kuna Mzaha wa Damu,
Kesi ya Mzee Mnyoka na Madam President
Zote ziko katika jukwaa hili
 
CK Allan anakuja na kisa kipya ndani ya mwezi wa saba hivi
utafaidi sana jamaa story zake haziboi na anamaliza zote
Safi sana,mm ndo nimeianza kwa mwendo wa kasi,nategemea kuimaliza chap kesho insha'Allah,kama bw CK Allan asiponikumbuka kwenye hio story mpya unikumbuke ww mkuu🙏
 
"MPANGAJI 01
Hakuna mpangaji yoyote ambaye alikuwa anafahamu asili ya Yule mpangaji mwenzao, hata jina lake la ‘sele’ wapo waliosema halikua jina lake halisi, lakini yote kwa yote Sele kama unavyoweza kusema alikua mpangaji wa kudumu wa mzee Mhina, miaka ilikatika na sio mzee Mhina wala wapangaji ama watoto wake walijua kazi halisi ya Sele,
Wapo waliosema sele alijihusisha na kazi ya kuzibua vyoo huko mjini mbali na hapo, wengine walisema sele Alikuwa mtu wa ‘kitengo” na kama ilivyo kawaida ya wabongo basi wengine walizua kuwa sele ni jahili mzoefu,
Kwanza Sele asingetoka nje ya chumba chake bila kuitwa, na kwakuwa chumba chake kilikua ni selfu basi huwezi kujua kama sele yupo ndani au ametoka,"


Nimekumbuka Mwanzo wa story ya Bigi ya Steve.....


Naweka kambi rasmi hapaa!!

Wapii Tayukwa Lovelovie Bantu Lady Kalpana baby zu Kigi Makasi Tyrone Kaijage mmash Restless Hustler Unforgettable Mafian cartel mtzmweusi mshaisoma hii storee???
Asante mama,hii tag niliiachaga kiporo hadi niwe na muda wa kutosha,..na Leo natiririka nayo kama sina akili nzur 😂,
Thanx in advance mkuu ake🙏
 
Back
Top Bottom