Hadithi nzuri yenye kusisimua

Hadithi nzuri yenye kusisimua

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Kulikuwa na watu watatu kabila tofauti,msambaa mpare na mchaga.

Yule mpare akamkopa hela mchaga na msambaa akawekwa kama shahidi.
Siku ya kulipana yule mpare kwa ubahili wake akaona asilipe bora ajiue kwa kujinyonga. Na yule mchaga alivyoona hivyo nae akajinyonga ili wakadaiane hukohuko mbunguni,
Msambaaa;tate naneeee sikubali aloo... lazma nikashihudie; nae akajinyonga kwa kupenda umbea ili akashughudie huko mbinguni..
Swali hapa je?kati ya wote ni nani mjinga...
 
Kweli we mpiga debe upo stend gani mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom