Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Ilikuwa Kabla ya Kombe la Dunia Mwaka 2002 kule Korea na Japan, pale Del Piero alipokuwa akivaa Jezi namba 10 huku Totti akiwa anavaa namba 20.
Siku moja baada ya mazoezi ya nguvu huku kila Mchezaji akiwa full kwa ajili ya kulitumikia Taifa, wachezaji waliitwa waliitwa ili wachague namba za Jezi zao Mgongoni na Pajani kabla ya kwenda kupata Mlo wa Mchana.
Kila Mmoja alikwenda kasoro Simba Dume Mwamba Paolo Maldini ambae jezi nambari 3 ilikuwa maalum kwa ajili yake na hakukuwa na Mtu alieitaka kwa wakati huo.
Basi kila mmoja alichagua namba yake lakini kwa mshtuko zaidi Totti alikwenda mbele ya rafiki yake kipenzi na kumwambia “AISEE KUANZIA LEO NATAKA KUVAA JEZI NAMBARI 10 NA HAITOKUWA YAKO TENA”.
Lakini pasipo dhaniwa na kila Mmoja Del Piero alijibu na kumwambia “HONGERA, MIMI SIJALI KUHUSU NAMBA, ILA NINACHO JALI NI KUMALIZA MAZOEZI HARAKA NA KWENDA KUPATA MLO ILI KUIMARISHA AFYA YANGU KISHA KWENDA PUMZIKA NA YULE MREMBO”
Baada ya Jibu hilo Totti alikunja sura na kisha akaichukua ile Jezi na kuondoka kabisa eneo hilo kiasi kila aliekuwepo hapo aliangua kicheko.
Wawili hawa walikuwa marafiki wakubwa lakini hawakuwahi kucheza Milan.
Story zaidi zina tanabaisha kwamba kuna muda katika urafiki wao Totti alikuwa na kinyongo na Del Piero kwa kuwa mwenzie alikuwa na Nyota zaidi na warembo wakali wa Kitaliano na Duniani kwa ujumla.
@acmilan_swahili
Siku moja baada ya mazoezi ya nguvu huku kila Mchezaji akiwa full kwa ajili ya kulitumikia Taifa, wachezaji waliitwa waliitwa ili wachague namba za Jezi zao Mgongoni na Pajani kabla ya kwenda kupata Mlo wa Mchana.
Kila Mmoja alikwenda kasoro Simba Dume Mwamba Paolo Maldini ambae jezi nambari 3 ilikuwa maalum kwa ajili yake na hakukuwa na Mtu alieitaka kwa wakati huo.
Basi kila mmoja alichagua namba yake lakini kwa mshtuko zaidi Totti alikwenda mbele ya rafiki yake kipenzi na kumwambia “AISEE KUANZIA LEO NATAKA KUVAA JEZI NAMBARI 10 NA HAITOKUWA YAKO TENA”.
Lakini pasipo dhaniwa na kila Mmoja Del Piero alijibu na kumwambia “HONGERA, MIMI SIJALI KUHUSU NAMBA, ILA NINACHO JALI NI KUMALIZA MAZOEZI HARAKA NA KWENDA KUPATA MLO ILI KUIMARISHA AFYA YANGU KISHA KWENDA PUMZIKA NA YULE MREMBO”
Baada ya Jibu hilo Totti alikunja sura na kisha akaichukua ile Jezi na kuondoka kabisa eneo hilo kiasi kila aliekuwepo hapo aliangua kicheko.
Wawili hawa walikuwa marafiki wakubwa lakini hawakuwahi kucheza Milan.
Story zaidi zina tanabaisha kwamba kuna muda katika urafiki wao Totti alikuwa na kinyongo na Del Piero kwa kuwa mwenzie alikuwa na Nyota zaidi na warembo wakali wa Kitaliano na Duniani kwa ujumla.
@acmilan_swahili