King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Muendelezo upo sema ni dakika kama 80 hivi vipindi viwili ambavyo MB zake ni Kubwa kidogo.Mkuu huna muendelezo? kama unao naomba tafadhali utuwekee hapa
Shukran sana mkuuMuendelezo upo sema ni dakika kama 80 hivi vipindi viwili ambavyo MB zake ni Kubwa kidogo.
Ila unaweza kusikiliza sehemu ya mwisho mwisho kwa hapa ,hapa zipo clip 5 za dakika 10 kumi.
Unadhani why wanajiingiza kwenye madawa kuna nguvu nyuma yake inaowadrive kwenye madawa pale watakapo jitoa kwa shetani.mkuu DMX gani unaemzungumzia? Huyu jamaa aliefariki kwa overdosage ya madawa ya kulevya?.....DMX madawa yamemchakaza sana na mwisho wake haujawa mzuri....
Type tajiri wa pesa za kichawiMbona hakuna? Nimeona tu story nyingine tu za utajiri wa kichawi,ebu weka link ya vipindi vya nyuma.
Hujamuelezea mhusika vizuri zaidi ya kutoa lawama na majibu ya maswali uliyopaswa kuuliza.Wanabodi.
Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea.
Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia ajali za Magari, na bahati mbaya amekuwa akitamka hadi ajali alizohusika.
Wito wangu! Management ya Radio Free Africa, haioni kama inaamsha uchungu kwa watu waliopoteza wapendwa wao katika ajali hizo? lakini pia haioni kama inahatarisha uhai wa huyo Lwanda Magere sababu watu wanaweza mfanyia kitu kibaya.
Hadithi ya Lwanda Magere inaweza kuwa na Fundisho au kutokuwa na umuhim kwa jamii yetu, story ime base kwenye mambo mabaya na machafu kuyasikia katika Radio Kubwa kama Radio Free Africa inayosikilizwa mpaka na watoto wadogo.
Rai yangu:
Kwakuwa hadithi imeonekana kuwa na mambo mengi kama kuua, umalaya, uzalilishaji, na hata ushirikina! ni wakati sasa hadithi hii ikarushwa usiku kuanzia labda saa nne usiku, ili kuepuka hawa watoto.
Na kwakuwa watu wanaifuatilia, hata mkiweka mida hiyo bado mtapata wateja wenu.
Nawasilisha.
DuhMim naonamsimuliaji anaongea ukwel coz hata mimi nilishawai kutafta huo utajiri na nikaupata ila masharti yangu na yake tofaut
Mim nilimtoa mwanangu wa kwanza na niwaambie tu ndugu zangu dunia ina maajabu sana
Mim biashara yangi nilikua nauza miwa yeny mtaji wa 50000 na huez amin baada tu ya kukubali mwanangu atolewe na kwel alitolewa
Kweli pesa ninazo magari majumba lodges mashamba maduka na Mabasi ila niutajiri wenye machungu sana......nikipata muda taanzisha.uchawi upo wadau
Nimuelezee nini wakati kuna kipindi kinaendelea. Maudhui ya kipimdi ndio yamenifanya kuiomba Management ya RFA kubadili muda wa kipindi husika.Hujamuelezea mhusika vizuri zaidi ya kutoa lawama na majibu ya maswali uliyopaswa kuuliza.
Ingekuwa kitabu ungesema kisomwe usiku tu? Usiku ni muda wa ibada, sio kusikiliza hayo. Hebu buni njia yako ya kujulisha jamii kuwa mambo hayo yapo na ya RFA yabaki kwao.Wanabodi.
Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea.
Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia ajali za Magari, na bahati mbaya amekuwa akitamka hadi ajali alizohusika.
Wito wangu! Management ya Radio Free Africa, haioni kama inaamsha uchungu kwa watu waliopoteza wapendwa wao katika ajali hizo? lakini pia haioni kama inahatarisha uhai wa huyo Lwanda Magere sababu watu wanaweza mfanyia kitu kibaya.
Hadithi ya Lwanda Magere inaweza kuwa na Fundisho au kutokuwa na umuhim kwa jamii yetu, story ime base kwenye mambo mabaya na machafu kuyasikia katika Radio Kubwa kama Radio Free Africa inayosikilizwa mpaka na watoto wadogo.
Rai yangu:
Kwakuwa hadithi imeonekana kuwa na mambo mengi kama kuua, umalaya, uzalilishaji, na hata ushirikina! ni wakati sasa hadithi hii ikarushwa usiku kuanzia labda saa nne usiku, ili kuepuka hawa watoto.
Na kwakuwa watu wanaifuatilia, hata mkiweka mida hiyo bado mtapata wateja wenu.
Nawasilisha.
Sheria gan inasema usiku ni muda wa Ibada tu?Ingekuwa kitabu ungesema kisomwe usiku tu? Usiku ni muda wa ibada, sio kusikiliza hayo. Hebu buni njia yako ya kujulisha jamii kuwa mambo hayo yapo na ya RFA yabaki kwao.
Mkuu usisahau kunitag nami nijifunze kituMim naonamsimuliaji anaongea ukwel coz hata mimi nilishawai kutafta huo utajiri na nikaupata ila masharti yangu na yake tofaut
Mim nilimtoa mwanangu wa kwanza na niwaambie tu ndugu zangu dunia ina maajabu sana
Mim biashara yangi nilikua nauza miwa yeny mtaji wa 50000 na huez amin baada tu ya kukubali mwanangu atolewe na kwel alitolewa
Kweli pesa ninazo magari majumba lodges mashamba maduka na Mabasi ila niutajiri wenye machungu sana......nikipata muda taanzisha.uchawi upo wadau
Msiwe mnasikiliza redioWanabodi.
Radio Free Africa wanarusha kipindi cha sito sahau kila Jumapili saa nne na kuendelea.
Sasa hivi kuna hadithi ya jamaa anaye jiita Lwanda Magere! nimesikiliza hadithi yake kwa baadhi ya episode zake! Jamaa kiukweli kwa maneno yake mwenyewe, anakiri kuua watu wengi sana hasa kupitia ajali za Magari, na bahati mbaya amekuwa akitamka hadi ajali alizohusika.
Wito wangu! Management ya Radio Free Africa, haioni kama inaamsha uchungu kwa watu waliopoteza wapendwa wao katika ajali hizo? lakini pia haioni kama inahatarisha uhai wa huyo Lwanda Magere sababu watu wanaweza mfanyia kitu kibaya.
Hadithi ya Lwanda Magere inaweza kuwa na Fundisho au kutokuwa na umuhim kwa jamii yetu, story ime base kwenye mambo mabaya na machafu kuyasikia katika Radio Kubwa kama Radio Free Africa inayosikilizwa mpaka na watoto wadogo.
Rai yangu:
Kwakuwa hadithi imeonekana kuwa na mambo mengi kama kuua, umalaya, uzalilishaji, na hata ushirikina! ni wakati sasa hadithi hii ikarushwa usiku kuanzia labda saa nne usiku, ili kuepuka hawa watoto.
Na kwakuwa watu wanaifuatilia, hata mkiweka mida hiyo bado mtapata wateja wenu.
Nawasilisha.
Nitag Tafadhali ukianzisha huo uziMim naonamsimuliaji anaongea ukwel coz hata mimi nilishawai kutafta huo utajiri na nikaupata ila masharti yangu na yake tofaut
Mim nilimtoa mwanangu wa kwanza na niwaambie tu ndugu zangu dunia ina maajabu sana
Mim biashara yangi nilikua nauza miwa yeny mtaji wa 50000 na huez amin baada tu ya kukubali mwanangu atolewe na kwel alitolewa
Kweli pesa ninazo magari majumba lodges mashamba maduka na Mabasi ila niutajiri wenye machungu sana......nikipata muda taanzisha.uchawi upo wadau
Kwahio kusiliza radio ni ushamba au kukosa kazi? au una maana gani labdaDahaa.hiv bado watu wanao muda wa kusikiliza hii redio? vipi ipo on line?
tupeni linki tuisikilize hiyo hadith
Unadhani wote tunaangalia hiyo TV yako?Nimuelezee nini wakati kuna kipindi kinaendelea. Maudhui ya kipimdi ndio yamenifanya kuiomba Management ya RFA kubadili muda wa kipindi husika.
Hata ivo, kwani ni kitu gani hujaelewa katika mada ya uzi huu?
Nimepita youtube nimepata hadi sehemu ya nne ya hii story, waweza tupa msaada wa muendelezo wake tafadhali!Muendelezo upo sema ni dakika kama 80 hivi vipindi viwili ambavyo MB zake ni Kubwa kidogo.
Ila unaweza kusikiliza sehemu ya mwisho mwisho kwa hapa ,hapa zipo clip 5 za dakika 10 kumi.
Basi waachie wanaofaham hicho kipindi wachangie, sio kila kitu lazima kuchangia mkuu!Unadhani wote tunaangalia hiyo TV yako?
Episode nyingine nilimiss nilishindwa kuzicapture ila jamaa alitoka nadhani akawa anajishughulisha na kazi za muziki,mimi ninazo epsode mbili tu ya kwanza na ya tatu....Ya pili na ya mwisho zilijirecord vibaya zikawa hazina sauti.Nimepita youtube nimepata hadi sehemu ya nne ya hii story, waweza tupa msaada wa muendelezo wake tafadhali!