Hadithi ya Lwanda Magere katika kipindi cha Sinto sahau kinachorushwa na Redio Free Africa

Hadithi ya Lwanda Magere katika kipindi cha Sinto sahau kinachorushwa na Redio Free Africa

Hiko kipindi nilikuwa nakipenda sana ila mambo ya kusubiri kila weekend yalinichosha nikaachana nayo.

Wangekuwa wanarekodi kipindi kizima wanarusha kama podcast au youtube.

Watapata wasikilizaji wengi na hela itaingia ya kutosha.
Kwa sasa washaanza kuiachia YouTube
 
Mimi nimeona uongo ungo ni mwingi sana. Jamaa anasimulia fasihi simulizi tu.

Anakwambia alitafuta utajiri ili amkomoe mdada mrembo aliyedharau familia yao mara sijui sauti ya malkia [emoji23][emoji23][emoji23] yani uongo ungo tu kwenye sauti ya masimulizi yake.
 
Wito wangu! Management ya Radio Free Africa, haioni kama inaamsha uchungu kwa watu waliopoteza wapendwa wao katika ajali hizo? lakini pia haioni kama inahatarisha uhai wa huyo Lwanda Magere sababu watu wanaweza mfanyia kitu kibaya.
Ni kweli unachokisema kuna mambo yanahitaji busara ya hali ya juu sana kuyafanya, lazima mtu kujiuliza na kupima pande zote mbili, unapoona stesheni kubwa kama RFA wameshindwa kupima jambo kama hilo utambue kuwa redio imepoteza mvuto sasa wanajaribu tu kuwavuta watu kuisikiliza kwa namna zote bila kujali madhara
 
Lwanda Magere naona kama anapiga tu story za changamsha genge tu.

Mtu ambaye namkubali ambaye alifanya kipindi cha kweli ni Jonathan Meshaki aka Kagame Jambazi Mtoto au Kipindi cha Ali Thabit Muandishi wa HAbari mwenye ulemavu wa macho,Zabron naye ni tantalila mtu wa kutupiga kamba.
Hukuwahi kumsikiliza Rogers ?
 
Kwa nini hakamatwi akaungane na his fellow unformed murders
 
Na wanawatumikisha hatari usio ni matajiri ukadhani wanafuraha.DMX,2pac, Michael Jackson walipewa umaarufu na shetani kupitia freemason baada ya kuuza nafsi zao kwa shetani walipochoka kutumikishwa wakataka kumrudia Mungu huku wakitoa Siri za shetani but wakafa kabla ya kutimiza ndoto zao.
DMX alitaka kufungua kanisa Ili amuhubiri Kristo ndo hivyo tena.
Shetani atakupa pesa at the end ni lzm akuuwe.Kanumba aliambiwa achague yeye au mama yake akaona bora aende yeye.
Yafaa nini kumiliki yote ya mashaka, kwann usitafute utajiri wa halali ufurahi na familia yako.
Kuliko masharti ya ajabu mara sijui utoe mama,baba, mtoto wako msukule kisha KILA mwezi umlawiti Ili pesa zijae uwaringie watu mtaani eti una mabus, malori,maghorofa hali una huzuni,au umue mama yako mzazi kisha uziondoe nyeti zake zikachomwe kupata mafuta ya upako wauziwe wachungaji washirikina kuvutia waumini.Nini hii sasa.
Thus mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa freemason.
DMX kwakweli ni mwanamziki wa kawaida lakini show zake..zilikuwa na malaki ya watu..Ni hatari Sana!
 
DMX kwakweli ni mwanamziki wa kawaida lakini show zake..zilikuwa na malaki ya watu..Ni hatari Sana!
Alikuwa na pumzi sana.
Alipoona Hakuna faida ya kumtumikia shetani akaona njia sahihi ni kurudi kwa Mola wake.Kama aliwahi kutubu Mola wake atampokea
 
Kusema imekufa sio kweli
Maana bado imo Katika orodha ya redio kumi bora zinazosikilizwa Sana.
Hiyo ratings ya redio 10 bora ilifanyika lini? Weka link hapa. Tuache mambo ya mahaba kwenye issues muhimu...
 
DMX kwakweli ni mwanamziki wa kawaida lakini show zake..zilikuwa na malaki ya watu..Ni hatari Sana!
Mkuu, msanii wa kawaida afu "show zake zilikuwa na malaki ya watu" hii maana yake hakuwa wa kawaida

DMX alikuwa msanii mkubwa na popular huko USA na mataifa mbali mbali! pia amejishindia tuzo mbali mbali za music. Itoshe kusema alikuwa si wakawaida
 
Back
Top Bottom