Hadithi ya umslopagaas

Hawa 'wajivuni' wananichekesha kinoma

Ni kabila??
Kikundi tu fulani cha watu??
Ama ni 'watu wanaojivuna??
 
Shukran mkuu
Sasa kiongozi si uweke simulizi yote tupate uhondo?
Mbona unakuwa km "SULTANA"! Tv Drama?[emoji16]. unatuonjesha kisha unakula pozi.
matokeo yake wadau wanajaza maneno meengi mpk unashindwa kujua wapi uliishia.

mwaga mtama wote kuku wale kwa nafasi kaka.
hii tamthilia inanikumbusha mbali mno.

Very well done to you Bro.
 
Hahaah poa mkuu.
 
Chief " hii simulizi ni matata" tunasubiri muendelezo Aisee", imeishia Patamu Mnoo".... taadhali ukiileta usisahau kuni tag
 
Hawa 'wajivuni' wananichekesha kinoma

Ni kabila??
Kikundi tu fulani cha watu??
Ama ni 'watu wanaojivuna??
Hapana shaka ni kabila fulani Afrika Mashariki....
 
Reactions: Pep
kwenye version ya kiingereza wametumia masai,sijajua kwanini kwenye kutafsiri wamewaita wajivuni....lakini ndio ni kabila.
Yaah kisha pana mtu wa kuitwa Alfonso katika hiki hayupo wala khabari zake hazitajwi pana siku alimzingua yule mtu mkubwa wa kizulu basi alimkosa kwa lile shoka lake na ikawa nidhamu kwa kwenda mbele. Na huyu Alfonso ndio alio pewa maandiko haya ayalete huku katika ulimwengu mwingine.
 
Huko mbele wanakutana na nchi inayotawaliwa na mabinti wawili nadhani ndio hy Ethiopia, tusimalize uhondo ,tumuache Muandishi aendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…