Hafadhari vifurushi vimepanda ndoa zetu zipumue sasa

Hafadhari vifurushi vimepanda ndoa zetu zipumue sasa

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee,
Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero.

Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter.

Watu walikua kila sekunde wanatongozana tu mpaka ndoa zetu zinayumba.
 
Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee,
Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero.

Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter.

Watu walikua kila sekunde wanatongozana tu mpaka ndoa zetu zinayumba.
Kila siku nagombana na wife swala la yeye kuweka simu chini ya mto wake..nikishtuka night naona yuko insta,mara tiwter bora tupumue sasa.
 
Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee,
Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero.

Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter.

Watu walikua kila sekunde wanatongozana tu mpaka ndoa zetu zinayumba.
Wewe kenge kabsa😂😂😂😂 ujui kuwa sms na dakika zimeongezwa kwenye vifurushi? Sahv jiandae kumuona akitongozwa kwa kupigiwa sim had usiku wa manane na tegemea mabadiriko kwenye ratiba za vikoba ndio utajua kuwa ujui
 
Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee,
Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero.

Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter.

Watu walikua kila sekunde wanatongozana tu mpaka ndoa zetu zinayumba.
Hujitambui ww
 
Back
Top Bottom