Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Ki ukweli jamaa anaudhi sana,hata Mimi natumaini medeama watapewa waondoke naye,hawezi badilika huyu hata akipewa mda zaidi Never, "If you know you know"Kama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%, View attachment 2848609
Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lifti kwa medeama wakamuache Karbu na Nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie Mkenge kumsajili.
Kabsa mkuu anakula pesa ya bure tuKi ukweli jamaa anaudhi sana,hata Mimi natumaini medeama watapewa waondoke naye,hawezi badilika huyu hata akipewa mda zaidi Never, "If you know you know"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha au arudi kwao kwa miguu tu halafu aachane na mpira akawe mwanamitindo
hakika kacheza vibaya sana,sijajua hasa nini kimempataKama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%, View attachment 2848609
Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lifti kwa medeama wakamuache Karbu na Nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie Mkenge kumsajili.
Hakuna kitu pale.Tulipate lile straika la mediama lililopewa kadi nyekundu jn lina vinasaba vya mayele
Hata km Watanzania tunaongea sana ila sio kwa huyu. Mi nilijaribu kumuangalia kwa makini ili nipate cha kumtetea lakini sikuona kitu. Kwa ufupi jamaa ndo uwezo wake umeishia pale.Nikajua kupitia kwa Ayubu mtakuwa mmejifunza kitu. Mtanzania ni Mtanzania tu.
Huyu mchezaji siyo mbaya kama wengi wanavyo mchukulia. Ni vile tu hajaingia kwenye mfumo wa mwalimu Garmond kama ilivyo kwa mastaa wengine pale Yanga. Mfano Farid Mussa, nk.Nikajua kupitia kwa Ayubu mtakuwa mmejifunza kitu. Mtanzania ni Mtanzania tu.
Hakuna Mtu pale, nidhamu ni 0 tofauti na Mayele aliyecheza misimu miwili yote Yanga SC akapata kadi ya njano.Tulipate lile straika la mediama lililopewa kadi nyekundu jn lina vinasaba vya mayele
Jinga lile striker gani kila mechi linapata card?Tulipate lile straika la mediama lililopewa kadi nyekundu jn lina vinasaba vya mayele
Jamaa kitaaluma ni mwalimu, hivyo siyo mbaya akarudi darasani kufundisha.Hahaha au arudi kwao kwa miguu tu halafu aachane na mpira akawe mwanamitindo