Hafiz Konkon Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua Mgongo chake na aombewe Lifti aondoke na Medeama

Hafiz Konkon Leo hii hii ilifaa alipwe kiinua Mgongo chake na aombewe Lifti aondoke na Medeama

Kama Kichwa cha Uzi kinavyojieleza hapo, kiukweli huyo Jamaa ni hakuna mchezaji hapo Ball control 2%, Passing accuracy 0.5%, Shooting accuracy 1%, View attachment 2848609

Kiufupi Huyo Hafiz hakuna mchezaji hapo leo hii hii ilifaa alipwe kiinua mgongo chake na aombewe Lift kwa Medeama wakamuache karibu na nyumbani aendelee na Maisha mengine akisubiri Timu nyngne iingie mkenge kumsajili.
Mashabiki wa bongo bwana hamjajifunza kwa ayoub lakred kibu denis aziz ki na onana wachezaji nao ni binadamu wana mambo mengi nje ya uwanja huwezi jua nini amekumbana nacho otherwise ungeweka mechi na dakika alizocheza ili twende sawa.
 
Hakuna Mtu pale, nidhamu ni 0 tofauti na Mayele aliyecheza misimu miwili yote Yanga SC akapata kadi ya njano.

Pia hata mechi za kimataifa hakuadhibiwa kabisa ingawa alikichachafya balaa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nidhamu inarekebishwa tu pia inategemea na uongozi wa timu, kama uliangalia vizuri jn timu nzima ya mediama walikuwa wakigombana wao kwa wao, pia kiongozi wao aliyekuwa benchi la ufundi nae alikula umeme kitu kinachoonesha kwamba timu nzima haina nidhamu.

Akija yanga atafunzwa adabu na atakuwa mchezaji mzuri tu.
 
Back
Top Bottom