Hafla ya Ugawaji wa Tuzo za CAF kwa mwaka 2024 ni Usiku huu jijini Marakech, Morocco

Hafla ya Ugawaji wa Tuzo za CAF kwa mwaka 2024 ni Usiku huu jijini Marakech, Morocco

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Kutoka Morocco, Usiku huu ni ugawaji wa tuzo za Shirikisho la Soka barani Afrika ( CAF )

Tuzo mbalimbali katika vipengele mbalimbali zinatarajiwa kutolewa usiku huu.

Baadhi ya vipengele hivyo ni;
Mwanasoka bora wa mwaka ( kwa wanawake & wanaume )

Golikipa bora wa mwaka

Timu bora ya mwaka

Goli bora la mwaka

Kocha bora wa mwaka nk

Tuzo hizo zinatarajiww kuanza Saa 3:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki huku Diamond Platnumz akiwa ni mmoja wa watumbuizaji katika hafla hiyo.

Azam Tv watakuwa mubashara lakini pia unaweza kufatilia kupitia Caf Tv kule Youtube
 
IMG_4625.jpeg
 
Kutoka Morocco, Usiku huu ni ugawaji wa tuzo za Shirikisho la Soka barani Afrika ( CAF )

Tuzo mbalimbali katika vipengele mbalimbali zinatarajiwa kutolewa usiku huu.

Baadhi ya vipengele hivyo ni;
Mwanasoka bora wa mwaka ( kwa wanawake & wanaume )

Golikipa bora wa mwaka

Timu bora ya mwaka

Goli bora la mwaka

Kocha bora wa mwaka nk

Tuzo hizo zinatarajiww kuanza Saa 3:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki huku Diamond Platnumz akiwa ni mmoja wa watumbuizaji katika hafla hiyo.

Azam Tv watakuwa mubashara lakini pia unaweza kufatilia kupitia Caf Tv kule Youtube
DSTV pia wapo live channel no 227
 
Nakumbuka Simba ili liheshimisha Taifa kwa tuzo ya goli bora...kupitia kwa Papee Osman Sakho...
Hatucheki na wowote
Ubaya ubwela....
 
Back
Top Bottom