Haganeni kwa mara ya mwisho

SOSTENESS J.N

Member
Joined
Feb 13, 2013
Posts
83
Reaction score
19
Wakati wa mabadiliko ya katiba za maisha ya wadau mbali mbali umewadia,wenzangu na mimi bize kukusanya nguo/pamba hata kama za kuazima ili mje mtumkomeshe vibonde,.atakayevaa nguo yake mpya siku ya kuja chuoni ongera yake sana,haya na nyie wenye mademu zenu wazuri imekula kwenu aisee mambo mambo yanabadilika achukui siku 3 mpigie simu usiku utaona user anajisomea getoni,mkopo utainua life status za wadau humu maana hutopata bahati ya kumjua mtoto wa mkulima tena,Mambo ni mambo wajameni mda wa umewadia
 
Haganeni ni nini rafiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…