Ok, iko hivi mkuu;
Hii mambo inahusiana na biashara ya hisa (sisi si wawekezaji, ni wajanja tu tunaotaka kununua kwa bei chini na kuuza kwa bei juu ndani ya muda mfupi)
1. Unakuwa na broker akaunti tayari kwa trading katika LSE
2. Kianzio at least 2000GBP
3. "Tipper" anakupa kampuni ya kununua hisa (yeye keshafanya research yake, he is an insider)
4. Unakaa unatulia tuliii, akisema UZA, unauza aster (unauza bei inapopanda, inaweza kuwa ndani ya dk chache au siku kadhaa, kwa hiyo unatakiwa kuwa attentive). Hapa kinachoangaliwa ni faida angalau ya 100% ili na yeye apate chambi.
5. Ukiuza unachukua faida halisi unagawa kwa mbili, fungu moja unamtumia mshkaji, fungu linalobaki unatia mfukoni, mtaji unabaki palepale unasubiri tena zamu yako ifike wakati akideal na washkaji wengine. Hapa ni suala la uaminifu, unaweza kuchagua kutomtumia cha kwake, lakini ndiyo unakuwa umejitoa na kujiondolea uaminifu.
Pia kuna hii ambayo mimi inanihakikishia vijisenti vya kula kila wiki
1. Unamtumia yeye kiasi cha pesa kuanzia 500GBP (mimi nimeanza na 800gbp)
2. Anatrade anavyojua yeye, kila wiki anakulipa 100gbp kwa kila 500 (hesabu yangu inasoma 160GBP/week)
Hapa uaminifu ni upande wake kwa sababu pesa anayo yeye.