Hahaaha, sweet money, NO HUSTLE; I like this guy!

Kaka ningependa japo nizame kidogo nichungulie watu huko wanaishije nikajiandaa na tools na zana zote kuzama nikaingia sema nikagomewa kujiunga.

Sehem nyingi za watu makini wanakuwa makini sana sku hizi na wageni wanaotaka kujiunga, scammers wamezidi, na wale jamaa zetu:cool2:!! Baadhi ya forums wanakuachia usome kama guest, nyingine wanaoweza kuziaccess ni members tu!
 
HAKUNA Fraud hapo!

Tafuta Black's Law Dictionary, au angalia kwenye encyclopedia Britannica uone maana ya neno "fraud" kisha utakuja kuniambia hapa kama kitendo cha kuwatumia watu wa ndani sio kujipatia advantage ambayo wengine hawana...kaangalie kwanza tafsiri kisha njoo tujadili mkuu.
 

soma post za nyuma kaka nimeshafafanua, nadhani nlitumia neno "insider" kimakosa, HE IS NOT AN EMPLOYEE!
 
Sehem nyingi za watu makini wanakuwa makini sana sku hizi na wageni wanaotaka kujiunga, scammers wamezidi, na wale jamaa zetu:cool2:!! Baadhi ya forums wanakuachia usome kama guest, nyingine wanaoweza kuziaccess ni members tu!

Duh..! Kweli kazi ipo.
 
hebu nielekeze jinsi ya kuvua samaki na mie sio kila siku unipangie idadi ya wanawake wa kuja nao, nataka ikiwezekana nije na vibibi vyote vya JF hata na vigori, haya maujanja nataka niyajue aisee
Naona wiki hii "mshahara" mapemaaa!...Mpwa wangu Elli tutafutane ijumaa palepaleee pa siku zote, siyo ndiyo uje na rundo la wanawake kama kawaida yako! hahahaa.
 
hebu nielekeze jinsi ya kuvua samaki na mie sio kila siku unipangie idadi ya wanawake wa kuja nao, nataka ikiwezekana nije na vibibi vyote vya JF hata na vigori, haya maujanja nataka niyajue aisee

Lol, usihofu mpwa wangu, sasa hivi meli tayari iko bahari kuu, msimu ujao nitakujulisha kabla meli haijang'oa nanga ili tuzamie wote mkuu!
 
Aliyeniuliza maswali inbox majibu haya hapa kwa faida ya wote:

Pia waliokuwa wanataka kujiunga kwa sasa inakuwa ngumu kwa sababu jamaa kajiwekea idadi ya watu kadhaa kulingana na muda wake ili aweze kuhudumia vizuri, muwe wapole, zinapotokea slots nitakuwa najulisha mmoja mmoja, first come first saved. Wenzangu naona walikuwa wajanja wajajichukulia nafasi mpaka tano, mimi nimeambulia mbili, lakini si haba:lock1:
 

Aisee haka kamchezo katamu ila hela za mawazo haziruhusiwi hapa. Kaka mkuu hii ni Internationally au hapa hapa DSE kaka?
 
Aisee haka kamchezo katamu ila hela za mawazo haziruhusiwi hapa. Kaka mkuu hii ni Internationally au hapa hapa DSE kaka?

Pesa ya mtaji usijaribu kuweka kaka, labda kwa option 2 ambayo ukiweka 500GBP ni guaranteed kupata 100GBP kila wiki! Hii ni LSE mkuu.
 
Pesa ya mtaji usijaribu kuweka kaka, labda kwa option 2 ambayo ukiweka 500GBP ni guaranteed kupata 100GBP kila wiki! Hii ni LSE mkuu.

Em nsaidie kwa ku prolong that LSE kaka mkuu na pia itabidi nikiwa sawa nikutafute aisee...sweet money! Easy money 🙂
 
Em nsaidie kwa ku prolong that LSE kaka mkuu na pia itabidi nikiwa sawa nikutafute aisee...sweet money! Easy money 🙂

You mean kirefu cha LSE? London Stock Exchange
 
nasikia harufu na manyoya nayaona kwa mbaali,
 
"once you have bought in you will hold until i advice you to sell".mwe! mwe! hapigwi mtu hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…