Hahaha em pita hapa aseee

Duh, zamani ilikuwa sawa kuchinja, ingekuwa leo angeitwa freemasonry.
 
Hujaelewa nini? Abraham alitakiwa amchinje Isack lakini akaokolewa na Mungu... Sasa njia Abraham huyo huyo akamwambia Isack kwamba anampenda... Unategemea majibu yake yawe ya namna gani? Utasemaje unampenda mtu uliyetaka kumchinja?

Umeelewa?
Ila daah, utani na maneno ya Mungu bhana hii sio sawa kabisa, mie sio mkristo ila ktk uislamu hicho kisa kipo, na kuna sikukuu maalum kuhusiana na tukio hilo..
Jamani tuache masihara na vitabu vya Mungu..
Saa ingine hawa watawala tunaletewa kama adhabu kwa matendo kama haya..
Ndo tunaishiaga kuisoma namba tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…