Hahaha em pita hapa aseee

Hahaha em pita hapa aseee

Hujaelewa nini? Abraham alitakiwa amchinje Isack lakini akaokolewa na Mungu... Sasa njia Abraham huyo huyo akamwambia Isack kwamba anampenda... Unategemea majibu yake yawe ya namna gani? Utasemaje unampenda mtu uliyetaka kumchinja?

Umeelewa?
Ila daah, utani na maneno ya Mungu bhana hii sio sawa kabisa, mie sio mkristo ila ktk uislamu hicho kisa kipo, na kuna sikukuu maalum kuhusiana na tukio hilo..
Jamani tuache masihara na vitabu vya Mungu..
Saa ingine hawa watawala tunaletewa kama adhabu kwa matendo kama haya..
Ndo tunaishiaga kuisoma namba tu...
 
Back
Top Bottom